Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
- Thread starter
- #101
MADAWA YA KULEVYA YANAANGAMIZA NGUVU KAZI YA TAIFA. PERIOD.Kuna watu kibao wanatumia madawa ya kulevya na bado majukumu yao yako palepale kama watu wengine kama ilivyo kwa walevi wa pombe.
Sasa kwanini azuiliwe mtu kuvuta madawa kwa hiari yake?
THAT'S THE FACT.
