Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 384
- 560
Kushindwa kwa Donald Trump itakuwa pigo kwa Afrika. Kwa nini nasema hivyo Trump anapinga ushoga, Trump aliwambia marais wa Afrika wajitegemee, Trump alikataa kushambulia mataifa machanga kisa maslahi ya USA, Trump alirejesha majeshi ya Marekani nyumbani na akagoma kuishambulia Iran.
Democrat wanasapoti ushoga 100% ndio wanaongoza kuvamia mataifa mengine, ndio wanaoongoza kuuza drugs duniani, ndio wataalam wa kuchukua rasilimali za mataifa ya Afrika, ndio wataalam wa kuweka mataifa ya Afrika mikononi mwao kwa marais mamluki nk, Rais asipofuata matakwa wanamtoa.
NB: Haya ni mawazo huru, unaweza kuyapinga kwa hoja pia.
Naandaa makala ndefu itakayochapwa kwenye gazeti hivi karibuni, nitaiweka hapa pia.
Democrat wanasapoti ushoga 100% ndio wanaongoza kuvamia mataifa mengine, ndio wanaoongoza kuuza drugs duniani, ndio wataalam wa kuchukua rasilimali za mataifa ya Afrika, ndio wataalam wa kuweka mataifa ya Afrika mikononi mwao kwa marais mamluki nk, Rais asipofuata matakwa wanamtoa.
NB: Haya ni mawazo huru, unaweza kuyapinga kwa hoja pia.
Naandaa makala ndefu itakayochapwa kwenye gazeti hivi karibuni, nitaiweka hapa pia.