WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,415
- 1,379
Kwa siku za hivi karibuni, wapinzani hasa Chadema na Zitto wamekuwa wakifuatilia sana mambo ya CCM.
Yaani sasa hivi wanafuatilia kila move anayopiga mgombea wa urais CCM badala ya kufuatilia mambo ya kwao?
Nimeona gazeti la CHADEMA, Tanzania Daima habari kuu ni CCM na humu hadi social media trend ni ileile Tatizo ni nini?
Yaani sasa hivi wanafuatilia kila move anayopiga mgombea wa urais CCM badala ya kufuatilia mambo ya kwao?
Nimeona gazeti la CHADEMA, Tanzania Daima habari kuu ni CCM na humu hadi social media trend ni ileile Tatizo ni nini?