Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,319
- 4,352
kifuatacho ni selfie na maiti sasa
#MuandishiWaHabari yaan ww unafungwa nyeupe kama tishuTatizo lako mawazo yako makwapani kama kuku jee waandishi wa habari wanapoenda sehemu kama hiyo na kuchukua habari na watu wakiwemo kuna tofauti gani na hiyo wee nyeti kweli...
Sory sijawahi kumtukana mtu humu ila limenitoka ..
Wtf kuna marehemu hapo nyuma hata hawajafunikwaMafala nyie msitake kila mtu aish mnavyotaka nyie.
Kuna kosa gani hapo sasa??
Imagine huo mwili hapo nyuma ni wa mzazi wakoKuna ubaya gani kwenye picha hiyo?
hajapiga amepigwaMzuqa wanajamvi!
Siku hizi watu hatuna staha kabisa. Majanga yakitokea tunafanya mzaha kwa kauli, picha, maandishi na vitendo. Kama haijakutokea mshukuru Mungu kwasababu Hujui kesho. Haileti picha nzuri kabisa kujipiga selfie ama picha kwenye matukio ya ajali ama Majanga ukaposti.
This not right at all its fundamentally wrong and totally unacceptable!
View attachment 1077775
Huyu Jon Stephano picha hii yeye kaipataje kama nae hakuwepo kwenye eneo la tukio?? Pili kuna tofauti gani kati ya aliyepiga na huyu aliyeamua kusambaza?? Huyu anaetuhumiwa ukimwangalia kwa makini yuko kwenye motion.Haha usjal mkuu.
Wabongo wanaongea sana aisee inabid sometime tukipata nafas tuwakanye. Kila mtu ana hak ya kuchagua jinsi ya kuish so long as havunj sheria yoyote ya nchi.
Tatizo kuna matahira wengine kama huyo mtoa mada wanataka kila mtu aish kuendana na fikra za kifala kama alizonae yy.
Any way mkuu heri ya pasaka
Hakuna tatizo, ni ushahidi kuwa alikuwepo. Angepiga kawaida washkaji zake wangesema amefowadiwa.Mzuqa wanajamvi!
Siku hizi watu hatuna staha kabisa. Majanga yakitokea tunafanya mzaha kwa kauli, picha, maandishi na vitendo. Kama haijakutokea mshukuru Mungu kwasababu Hujui kesho. Haileti picha nzuri kabisa kujipiga selfie ama picha kwenye matukio ya ajali ama Majanga ukaposti.
This not right at all its fundamentally wrong and totally unacceptable!
View attachment 1077775
Ni kweli kabisa sio Mzuqa kabisa kufanya haya makitu.Mzuqa wanajamvi!
Siku hizi watu hatuna staha kabisa. Majanga yakitokea tunafanya mzaha kwa kauli, picha, maandishi na vitendo. Kama haijakutokea mshukuru Mungu kwasababu Hujui kesho. Haileti picha nzuri kabisa kujipiga selfie ama picha kwenye matukio ya ajali ama Majanga ukaposti.
This not right at all its fundamentally wrong and totally unacceptable!
View attachment 1077775
Ushona mwandishi wa habari anajipiga selfie na maiti??Tatizo lako mawazo yako makwapani kama kuku jee waandishi wa habari wanapoenda sehemu kama hiyo na kuchukua habari na watu wakiwemo kuna tofauti gani na hiyo wee nyeti kweli...
Sory sijawahi kumtukana mtu humu ila limenitoka ..