Kwanini ununue gari ambayo gearbox ina gear ratios(more speed numbers) nyingi? Nini faida yake?

Nje kidogo ya mada. Kumekuwa na ongozeko ya watu kutumia gas. Ni nini advantages na disadvantages ya kutumia mfumo huu. Check engine light inakuwa on muda water. Je kuna njia ya ku clear?

Hii ni kutokqna na uchumi mbovu wa watanzania, ila kumbuka hayo magari hayajatengenezwa kwa ajili ya njia hyo, na fuel sometyms inakuwq kama lubricant kwenye engine, kama gari lako sio tegemezi weka ila kama ni tegemezi usiweke mpaka baada ya mda mre
 
Wajapani hawafanyi hvyo maana ni rahisi sana kwa engine yenye gear ratio kubwa kuharibika ukiringanisha na yenye ratio ndogo
Mzungu anaangalia sana performance na luxiury, mjapani kabase sana kwenye reliability
Ndio maana vilio vya kuwa Harrier ni jini vimetawala kila mahali.

Gari ina engine kubwaaaaa gearbox kidunchu.

Vanguard inakuja na the same engine ila with 7 speed Continous Variable Transmission.

Ila Consumption yake yake haifananii na Harrier.

Harrier ya 2.4L consumption yake ni Level za Toureg ya 3.2L au hata 3.6L. Hapo sijagusa harrier ya 3.0L
 
Jana bwana nilikuwa na mausingizi nikawa sielewi hata umetuma kitu gani.

Kama kawaida ya madalali wetu.

Hiyo gari kwenye picha ni Mercedes Benz Kompressor C200. Maana nimeenda kuziangalia na picha zake zingine

Hakuna AMG C class ya Cc1780 Na kama ingekuwepo basi Benz wangekuwa wametoa bonge la Boko.

C class AMG kwa toleo hilo ni Cc6200 petrol

Hakuna AMG C Class ya top speed ya 260, Tena kwa Cc hizo zinazotajwa hapo mbona ingekatwa na gari nyingi sana?

AMG C Class ni 320kph....

Hiyo gari pichani CIF pamoja na kodi haivuki hata 22m.

Mtu anaenda kupigwa na kitu kizito.

[mention]JituMirabaMinne [/mention] mkuu pole na kazi..
Nakuomba,ukipata nafasi please tupe ABC
za hii gari mercides benz C class
C200 vs c180 ??
Compressor vs Avant-garde???

Vitu gani tuzingatie kabla ya kuagiza

Sitaki kufanya makosa ili nijifunze

Crown new shape 2010 vs c200
Unamshauri kijana mwenye mishe za mjini achukue ipi?

Usiache kuni tag mkuu.
 
[mention]JituMirabaMinne [/mention] mkuu pole na kazi..
Nakuomba,ukipata nafasi please tupe ABC
za hii gari mercides benz C class
C200 vs c180 ??
Compressor vs Avant-garde???

Vitu gani tuzingatie kabla ya kuagiza

Sitaki kufanya makosa ili nijifunze

Crown new shape 2010 vs c200
Unamshauri kijana mwenye mishe za mjini achukue ipi?

Usiache kuni tag mkuu.
emoji1488.png

C180 vs c200 toleo lipi? W203, W204 au W205?


Kulinganisha Kompressor na Avant-garde ni kulinganisha vitu ambavyo havifanani.

Kompressor kwenye mercedes inamaanisha Supercharger (not turbocherger japo zote ni forced induction).

Avant-garde ni trim level, mfano ni kama unavosema LandCruiser GX.R, VX, GX, VX.R n.k. Benz wao wana Classic, Elegance, Avant-garde. n.k.

Crown 2010 vs C200.

Nitaconsider C200 W204 maana ndio gari itakuwa inafanania mwaka na hiyo Crown. Na Crown tuchukue ya 4GR-FSE.

Kwa mwaka 2010, C200 inakuja M271 1.8L engine yenye direct injection (CGI) with turbo charger ikiwa inatoa 184HP huku ina 5G tronic transmission ambayo ni gear 5 (Japo kuanzia 2012 walishift kutoka 5G tronic kwenda 7G tronic ambayo inakuwa na gear 7 na ni nzuri zaidi kuliko 5G tronic).

Pia kwa huo mwaka 2010, C200 ina BlueEfficiency technology, Hii tech inafanana na blueMotion kwenye VW. Hii BlueEfficiency siyo specific thing ila technology ambayo imekuwa applied kwenye mifumo mbalimbali kwenye gari kuanzia engine, gearbox, body, tyres, n.k. ili kuhakikisha gari inakuwa na consumption nzuri ya mafuta huku wakipunguza emmission.

So far ni gari nzuri in both ways, fuel consumption na Performance.

Kwa upande wa Crown, kwa 2010 it means ni GRS200. Inacome na engine tofauti tofauti lakini ndogo zaidi ni 4GR-FSE ambayo inakuwa na Cc2500 ikiwa inatoa around 204HP.

Ni natural aspirated lakini Direct Injection kama ilivyo benz tu. Pia inakuja na gearbox ya gear 5.

Upande wa spea gari zote mbili spare bei iko juu, Japo C200 bei itakuwa juu zaidi kuliko hiyo GRS200. Advantage moja tu, Spea za Crown utazipata kiurahisi kuliko hizo spare za benz.

Tuhitimishe.

Kama unataka Performance. Chukua Crown 2010. Japo Crown mwisho wake ni 180kph.

Kama unataka fuel efficiency chukua C200. Japo utofauti ni mdogo.

Mjerumani ametuangusha sana kwenye perfomance kwenye hii gari. Gari kama Audi A4 2.0TFSi Quattro inawagaraza wote wawili hapo juu kuanzia kwenye fuel efficient mpaka kwenye perfomance.

Ni hayo tu.
 
C180 vs c200 toleo lipi? W203, W204 au W205?


Kulinganisha Kompressor na Avant-garde ni kulinganisha vitu ambavyo havifanani.

Kompressor kwenye mercedes inamaanisha Supercharger (not turbocherger japo zote ni forced induction).

Avant-garde ni trim level, mfano ni kama unavosema LandCruiser GX.R, VX, GX, VX.R n.k. Benz wao wana Classic, Elegance, Avant-garde. n.k.

Crown 2010 vs C200.

Nitaconsider C200 W204 maana ndio gari itakuwa inafanania mwaka na hiyo Crown. Na Crown tuchukue ya 4GR-FSE.

Kwa mwaka 2010, C200 inakuja M271 1.8L engine yenye direct injection (CGI) with turbo charger ikiwa inatoa 184HP huku ina 5G tronic transmission ambayo ni gear 5 (Japo kuanzia 2012 walishift kutoka 5G tronic kwenda 7G tronic ambayo inakuwa na gear 7 na ni nzuri zaidi kuliko 5G tronic).

Pia kwa huo mwaka 2010, C200 ina BlueEfficiency technology, Hii tech inafanana na blueMotion kwenye VW. Hii BlueEfficiency siyo specific thing ila technology ambayo imekuwa applied kwenye mifumo mbalimbali kwenye gari kuanzia engine, gearbox, body, tyres, n.k. ili kuhakikisha gari inakuwa na consumption nzuri ya mafuta huku wakipunguza emmission.

So far ni gari nzuri in both ways, fuel consumption na Performance.

Kwa upande wa Crown, kwa 2010 it means ni GRS200. Inacome na engine tofauti tofauti lakini ndogo zaidi ni 4GR-FSE ambayo inakuwa na Cc2500 ikiwa inatoa around 204HP.

Ni natural aspirated lakini Direct Injection kama ilivyo benz tu. Pia inakuja na gearbox ya gear 5.

Upande wa spea gari zote mbili spare bei iko juu, Japo C200 bei itakuwa juu zaidi kuliko hiyo GRS200. Advantage moja tu, Spea za Crown utazipata kiurahisi kuliko hizo spare za benz.

Tuhitimishe.

Kama unataka Performance. Chukua Crown 2010. Japo Crown mwisho wake ni 180kph.

Kama unataka fuel efficiency chukua C200. Japo utofauti ni mdogo.

Mjerumani ametuangusha sana kwenye perfomance kwenye hii gari. Gari kama Audi A4 2.0TFSi Quattro inawagaraza wote wawili hapo juu kuanzia kwenye fuel efficient mpaka kwenye perfomance.

Ni hayo tu.

Asante sana mkuu
Umegusia kila ambacho nlikuwa natamani kukisikia
Nmekuelewa Vizuri,ila kuna jambo linanipa shida
Nkiangalia gari zinazouzwq bongo zina mileage ndogo around 40000km
Wakati kene website tofauti tofauti hizi gari zina mileage kuanzia 90000km.na ukipata chini ya iyo40000km bei iko juu sana.
Kwani watu wa yard wanaagiza wapi ambako si hatuzioni
Ukiachilia autocom,beforwad,SBT,jappanesse vehicles.

Na kama nkiamua kuchukua gari yard
Ntahakikisha vipi rangi na mileage ya gari kama ni OG
 
C180 vs c200 toleo lipi? W203, W204 au W205?


Kulinganisha Kompressor na Avant-garde ni kulinganisha vitu ambavyo havifanani.

Kompressor kwenye mercedes inamaanisha Supercharger (not turbocherger japo zote ni forced induction).

Avant-garde ni trim level, mfano ni kama unavosema LandCruiser GX.R, VX, GX, VX.R n.k. Benz wao wana Classic, Elegance, Avant-garde. n.k.

Crown 2010 vs C200.

Nitaconsider C200 W204 maana ndio gari itakuwa inafanania mwaka na hiyo Crown. Na Crown tuchukue ya 4GR-FSE.

Kwa mwaka 2010, C200 inakuja M271 1.8L engine yenye direct injection (CGI) with turbo charger ikiwa inatoa 184HP huku ina 5G tronic transmission ambayo ni gear 5 (Japo kuanzia 2012 walishift kutoka 5G tronic kwenda 7G tronic ambayo inakuwa na gear 7 na ni nzuri zaidi kuliko 5G tronic).

Pia kwa huo mwaka 2010, C200 ina BlueEfficiency technology, Hii tech inafanana na blueMotion kwenye VW. Hii BlueEfficiency siyo specific thing ila technology ambayo imekuwa applied kwenye mifumo mbalimbali kwenye gari kuanzia engine, gearbox, body, tyres, n.k. ili kuhakikisha gari inakuwa na consumption nzuri ya mafuta huku wakipunguza emmission.

So far ni gari nzuri in both ways, fuel consumption na Performance.

Kwa upande wa Crown, kwa 2010 it means ni GRS200. Inacome na engine tofauti tofauti lakini ndogo zaidi ni 4GR-FSE ambayo inakuwa na Cc2500 ikiwa inatoa around 204HP.

Ni natural aspirated lakini Direct Injection kama ilivyo benz tu. Pia inakuja na gearbox ya gear 5.

Upande wa spea gari zote mbili spare bei iko juu, Japo C200 bei itakuwa juu zaidi kuliko hiyo GRS200. Advantage moja tu, Spea za Crown utazipata kiurahisi kuliko hizo spare za benz.

Tuhitimishe.

Kama unataka Performance. Chukua Crown 2010. Japo Crown mwisho wake ni 180kph.

Kama unataka fuel efficiency chukua C200. Japo utofauti ni mdogo.

Mjerumani ametuangusha sana kwenye perfomance kwenye hii gari. Gari kama Audi A4 2.0TFSi Quattro inawagaraza wote wawili hapo juu kuanzia kwenye fuel efficient mpaka kwenye perfomance.

Ni hayo tu.

Hii Audi unayozungumzia ni ya mwaka gani mkuu
Nifatilie pia
 
Hii Audi unayozungumzia ni ya mwaka gani mkuu
Nifatilie pia

Hiyo ni Audi A4 B9 1.8 au 2.0 TFSi.

Ukiweza kujipinda chukua kuanzia 2013.

Kwa mwaka 2010 unaweza ukapata nzuri au ukaangukia kwenye kimeo kulingana na engine code.
 
Kiukweli unaweza usione faida yoyote lakini faida ipo tena kubwa tu.

Kuna faida kuu mbili

1. Gari ina accelerate faster

2. Gari inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta.

Tuachane na gearbox za manual kwanza. Naomba tuzungumzie Automatic Transmissions tu.

Kila kila gear inayokuwa engaged huwa kunakuwa na range ya rpm ambapo hapo ndio maximum power inakuwa transfered kwenda kwenye matairi.

Below hiyo RPM power transfered inakuwa ndogo. Ndio maana itakuwa ni ngumu sana kuaccelerate faster ikiwa gari itaanza na gear namba 5 (let say). Gari itaondoka kwa shida sana.

Ukiwa na fewer gear ratios, utaspend muda mrefu sana kutoka gear moja kwenda gear nyingine. Wakati ukiwa ukiwa na gear ratio nyingi, muda mwingi utaspend katika band ambayo ndio power kubwa inakuwa transfered.

Gari yenye gear ratio nyingi ina accelerate faster kuliko kuliko gari yenye gear ratios chache...

Pia inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta kwa sababu engine haiwi kwenye mzigo mkubwa muda mwingi ukilinganisha na gari yenye gear ratios chache...

Ndio maana gari nyingi za mzungu zinaaccelerate faster kuliko gari za mjapani sababu wao walishatoka huko kwenye 4 speed transmission ambazo zimejaa kwa mjapani.

Mjapani anatumia gearbox zenye gear ratios nyingi kwenye matoleo machache sana. Ila gari zake nyingi anaweka tu 4 speed transmission.


Wajapani wa JF karibuni.


Kama unahitaji Diagnosis na repair ya gari lako, 0621 221 606.
Toyota Vanguard ina accelerate faster na NI Chuma ya Mjapani kwa Soko la Ulaya
 
Asante sana mkuu
Umegusia kila ambacho nlikuwa natamani kukisikia
Nmekuelewa Vizuri,ila kuna jambo linanipa shida
Nkiangalia gari zinazouzwq bongo zina mileage ndogo around 40000km
Wakati kene website tofauti tofauti hizi gari zina mileage kuanzia 90000km.na ukipata chini ya iyo40000km bei iko juu sana.
Kwani watu wa yard wanaagiza wapi ambako si hatuzioni
Ukiachilia autocom,beforwad,SBT,jappanesse vehicles.

Na kama nkiamua kuchukua gari yard
Ntahakikisha vipi rangi na mileage ya gari kama ni OG
Ishu ya mileage we jua tu wabongo wengi huwa wanazichezesha.

Wameshajua akili za wabongo kuwa wanapenda gari zenye mileage ndogo wakiamini ndio uzima wa gari, Basi nao wanaenda na beat.
 
Back
Top Bottom