Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Madalali sio watu wazuri kabisaa, kununua humu gari ndani ya nchi kwasababu unakuta una haraka ya gari tu, ila wapigaji sana na wengi wanalenga faida kubwa sanaaa.. 22m to 37m gape. kubwa sanaaaJana bwana nilikuwa na mausingizi nikawa sielewi hata umetuma kitu gani.
Kama kawaida ya madalali wetu...🤣🤣🤣🤣