Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?

Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?

Kumwangalia mtu usoni unapoongea naye kunahitaji ujasiri, na ujasiri huletwa na "nguvu" either ya pesa....madaraka n.k umasikini ndio unatufanya tuwe wanyonge

Lakini pia ni utamaduni mbaya tuliorithi kutoka kwa babu zetu...babu zetu hawakuwa na ujasiri wa kumwangalia Mwarabu au Mzungu usoni wakati wa ukoloni tena wakati mwingine walilazimika kugeukia kabisa ukutani ndio maana mpk sasa kuna baadhi ya makabila mwanamke hawezi kuongea na mwanaume akiwa anamwangalia usoni achilia mbali machoni...

lakini pia ni kwa sababu ya kutokuwa wakweli tuna uongo na udanganyifu mwingi sana, unaposema uongo dhamira yako inakusuta kumwangalia mtu usoni... ndio maana wenzetu weupe huwa wanataka mara zote unapozungumza nao uwaangalie machoni.
 
Back
Top Bottom