stabilityman JF-Expert Member Joined Jul 9, 2024 Posts 812 Reaction score 1,753 Jan 14, 2026 #1 Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 58,066 Reaction score 166,602 Jan 14, 2026 #2 Umejuaje simwangalii machoni?
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,895 Reaction score 8,048 Jan 14, 2026 #3 Nikiwa na hasira kali nakuchek kwa jicho la paka tiger Ila nikiwa kawaida haina haja kuangaliana labda km ni demu!
Nikiwa na hasira kali nakuchek kwa jicho la paka tiger Ila nikiwa kawaida haina haja kuangaliana labda km ni demu!