Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Mimi ni muoga sana wa kuangalia maiti, yaani hata kama tulikuwa marafiki vipi ukishakufa sio rafiki yangu tena.
Najua si mimi tu, wapo wengi tu ambao hata uje na wanajeshi wenye vifaru na mabomu hawawezi kuangalia maiti.
Hivi kwanini tunaogopa maiti jamani? tunaogopa maiti itatutokea usiku au tunaogopa kuchelewa kupotea kwa picha ya maiti kichwani?
KWANINI TUNAOGOPA KUANGALIA MAITI??
MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Najua si mimi tu, wapo wengi tu ambao hata uje na wanajeshi wenye vifaru na mabomu hawawezi kuangalia maiti.
Hivi kwanini tunaogopa maiti jamani? tunaogopa maiti itatutokea usiku au tunaogopa kuchelewa kupotea kwa picha ya maiti kichwani?
KWANINI TUNAOGOPA KUANGALIA MAITI??
MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Last edited by a moderator: