General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
- Thread starter
- #221
Jibu hayo maswali ya mleta mada, acha kukimbia kimbiaa.Naaamini unachokisema...
Sababu ni wanatumia nguvu sana kulazimisha absence ya M/ Mungu...
Mara wakulazimishe mtu uwape evidence za uwepo wake, mara ajitokeze asijifiche, Mara kile ilimradi tu kujitoa ufahamu!
Mi toka nione dunia hii hakuna, narudia hakuna kiumbe hai kilichowahi hata tengeneza / umba "a mere fly" ...ilinilazimu kuamini kuna supreme power inacontrol beyond my knowledge!
Post sent using JamiiForums mobile app