Kwanini umpe mwanamke hela?

Hesabu zko zimetulia sana mim enzi zangu nilikuwa nashuka Hadi Kwa wale wa 3000 aftatu manake hii midemu mingine ni mzigo tu
 
Pumbavu mna waforce wanawake wawe masculine then later mnakuja kulia wakiwapanda vichwani.

Choose a good woman then provide for your woman. Otherwise bosi wake atakupangia siku za kumkaza na hutokuwa na cha kusema. Atamtii bosi wake kuliko wewe na hutokuwa na kauli yoyote.
 
Umwage mpunga kwa girlfriend.! Mdogo angu embu jaribu kuwa seriuos hata kidogo tu.
 
Tulia upakwe dawa nn shida mbona tunato na Mungu hatutupa mpka leo tena katubariki zaidi yako ndio maana tunaweza kutoa pale inapohitajika...... Mpare kuwa mbahili sio kuwa na pesa kitu roho tu
Wewe ni mmoja kati ya wanaume wapumbavu ambao mnapendwa na kausha damu kwa sababu nyie ndo mafala wao. Unapigwa mzee baba, wake up from that dead asleep
 
Naskia raha nikiona andiko kama hili maana hela tutaendelea kuwapa tukiwa nazo na maskini wataendelea kulalamika hata wakitoa 5k tu itamuuma roho ila jifunzeni unapotoa ndipo Mungu anakujazia palipo pungua
Tujifunze kutumia maandiko vizuri, kwasababu hujamaliza mpaka mwisho alivyosema mtoe kuna maneno alimalizia kwenye huo mstari pia, hapo ni sawa na wanaume wanavyojitetea kuwa kwenye maandiko tumeruhusiwa kuishi bila kuwa na mahusiano(ndoa) huku wakiendekeza uzinzi wakati hilo andiko hawajamalizia maneno ya mwisho.
 
Dogo huna akili.
Nafikiri waliofuatilia mjadala wamekuona kichwani ulivyo.

Hujui tofauti ya upendo na ngono, tulia ukikuwa utaelewa.
Endelea kupiga nyeto
 
Ndio maana nikasema huyi dogo kichwani mweupe , ndege wanaofanana huruka pamoja ndio hili dogo limeingia kwenye magume gume yaliyoshindikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…