Limwanamke lina wanaume 5 pamoja na mimi inakuwa sita, hapo ni wale wenye smartphone je wenye vinokia vya tochi.kuna wanawake makahaba kubuhu na wanataka ndoa hetiHa ha ha ha et la kutupwa
Alikuwa muhindi nini?Mie alikuwa.mbabe.mbabe tu...akiwa anapika anataka kuntuma tuma cjui leta chumvi cjui nleteee maji...nkamtimuaaa...
Umeguna ukapita mbona, huna X wewe ?Mmmm
hahahaaMimi nimewaacha wengi,
wengine nimejikuta tu nimewaacha pasipo sababu yeyote
Majanga tuUmeguna ukapita mbona, huna X wewe ?
Noma sanaMimi nlimwacha baada ya kuwa napiga chabo what'sap yake.Nilionganisha what'sapp yake na what'sapp web kwenye computer bila yeye kujua, nikagudua ni kahaba la kutupwa.
.Inaumaa aaah!Majanga tu
mzee mdukuuuzi hahahahaha snowdennmecheka sana ase
daaaaaaa tafuta elaleo: naomba pesa ya saloon, kesho anaomba pesa ya kodi ya Nyumba, kesho kutwa anaomba pesa ya kitu gan sijui.....yaan kwa kifupi kila siku ya Juma nlikuwa nachunwa
. ukisema huna anasema humpendi ....miezi mitatu sijafanya kitu changu cha maana nikaamua kulivua Pendo. though i loved her
Basi hata YMmmh,bahati mbaya sinaga X
Hela wanazibadirisha majina hatareeeleo: naomba pesa ya saloon, kesho anaomba pesa ya kodi ya Nyumba, kesho kutwa anaomba pesa ya kitu gan sijui.....yaan kwa kifupi kila siku ya Juma nlikuwa nachunwa
. ukisema huna anasema humpendi ....miezi mitatu sijafanya kitu changu cha maana nikaamua kulivua Pendo. though i loved her