Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,273
- 2,943
Wakuu bila kuzunguka mbuyu wengi wetu tuna ma ex kabla ya kumpata yule ulieamua kuanzisha nae familia yani mke/mume, na kama hujaoa/olewa hii ni yako pia... hatuwatengi ma bachelor na single Madam zetu ! Sasa bas hawa ma ex leo nawaweka categories 3 ambazo wote tunaweza kua familiar nazo.
1. Ex asieachika, huyu hata utukane, upige, uoneshe dharau zote hata unaweza nyandua manzi hapo mbele yake na still asikuache na wengine hata ukioa/olewa bado hakati tamaa na wewe na ukipiga simu moja tu huyu hapa.
2. Ex kisirani.. paka na panya, ukisikia turudiane au bora kufa, BORA KUFAAA ndio huyu yaani hata ukitajwa jina lako mbele yake anahisi kutapika. Ni mtu kakuchukia kupita kiasi ata akisikia umefungwa au kufa utajijua mwenyewe.
3. Ex mzazi mwenza, hapa kuna vituko sana wachache wamefaulu kuweka tofauti zao pembeni kwa malezi ya mtoto wengine wana miaka na miaka bila mawasiliano.
Hakuna mtoto mdogo humu asie na Ex, vipi uzoefu wako katika safari yako ya mapenzi na je yapi madhara ya kuoa/kuolewa na mtu mwenye Ex mwenye sifa mojawapo tajwa apo juu 👆 au ongeza aina ya Ex ambayo sijataja.
Swali la nyongeza hivi unajisikiaje Ex wako kutoboa kimaisha mfano miaka 5+ mmeachana na mtu then mnakutana mwenzio yuko mbali sana kimaisha, sema ukweli utafurahia hatua zake au utajihisi inferior?
1. Ex asieachika, huyu hata utukane, upige, uoneshe dharau zote hata unaweza nyandua manzi hapo mbele yake na still asikuache na wengine hata ukioa/olewa bado hakati tamaa na wewe na ukipiga simu moja tu huyu hapa.
2. Ex kisirani.. paka na panya, ukisikia turudiane au bora kufa, BORA KUFAAA ndio huyu yaani hata ukitajwa jina lako mbele yake anahisi kutapika. Ni mtu kakuchukia kupita kiasi ata akisikia umefungwa au kufa utajijua mwenyewe.
3. Ex mzazi mwenza, hapa kuna vituko sana wachache wamefaulu kuweka tofauti zao pembeni kwa malezi ya mtoto wengine wana miaka na miaka bila mawasiliano.
Hakuna mtoto mdogo humu asie na Ex, vipi uzoefu wako katika safari yako ya mapenzi na je yapi madhara ya kuoa/kuolewa na mtu mwenye Ex mwenye sifa mojawapo tajwa apo juu 👆 au ongeza aina ya Ex ambayo sijataja.
Swali la nyongeza hivi unajisikiaje Ex wako kutoboa kimaisha mfano miaka 5+ mmeachana na mtu then mnakutana mwenzio yuko mbali sana kimaisha, sema ukweli utafurahia hatua zake au utajihisi inferior?