Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Niliacha pale mchungaji wa kanisa letu kanisa maarufu tu alipo fumwa na mke wa mzee wake wa kanisa ndani ya ofisi ya kanisa wakilana uroda saa 3 usiku, nikaacha nakusali hapo hapo tangu 2008 hadi sasa
 
Niliacha pale mchungaji wa kanisa letu kanisa maarufu tu alipo fumwa na mke wa mzee wake wa kanisa ndani ya ofisi ya kanisa wakilana uroda saa 3 usiku, nikaacha nakusali hapo hapo tangu 2008 hadi sasa
Na hujutii kutosali au unajutia? Je, huwa unasali peke yako?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
UKisoma comments humu utajua tuna kizazi aina gani
Na hili ndio taifa la kesho
Na ndio wazazi walezi wa watoto
No wonder utovu wa nidhamu na maovu yamekua kwa kasi sana.
Mashoga wanaongezeka na kujitangaza waziwazi
Watu hawaoni aibu kutangaza tabia zao ovu πŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚
Mungu uturehemu na kutusaidia
 
Sasa watu kusema ukweli wao ni vibaya? Toto lako kuwa shoga ni ujinga wake na si wa wewe mzazi. Kwani halina akili? Kwani lina miaka 4? Si lina 18+ huko?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Sasa watu kusema ukweli wao ni vibaya? Toto lako kuwa shoga ni ujinga wake na si wa wewe mzazi. Kwani halina akili? Kwani lina miaka 4? Si lina 18+ huko?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Endeleeni kusema ukweli kusifiana na kuchekelea ujinga mkijificha kwa ID hizi
Ila Nyoka hazai kondoo
Tafakari tabia zako halafu ndio vyakurithi vinazidi πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kizazi cha Hovyo sana ninyi
 
Uliwezaje kugundua?

Ulitumia nini kugundua?

Nini kilikuongoza kugundua?

Which aspects did you use to come to the conclusion that source of evil is result of absence of LORD?

Ulitumia methodologies gani kugundua? njia zipi za kitaalamu? Na uliweza kuprove VP jambo hili?
 
Zaka, sadaka, shukrani, michango, harambee ya kuchangia gari la mchungaji. Nk!
Mbaya zaidi wachungaji na mapadre tunashare nao mbususu za kina mwajuma huku UDOM na CBE
 
Endeleeni kusema ukweli kusifiana na kuchekelea ujinga mkijificha kwa ID hizi
Ila Nyoka hazai kondoo
Tafakari tabia zako halafu ndio vyakurithi vinazidi [emoji2][emoji2][emoji2]
Kizazi cha Hovyo sana ninyi
Kwani mtu kuacha kwenda kanisani ni tabia chafu? Unaelewa maana ya kanisa? Wangapi wanakwenda kanisani na ni wazinifu? Huna hoja[emoji23]

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…