Na hapo ukihoji, utasikia eti usiwaseme vibaya watumishi wa Mungu.Mkuu haya ndio yaliliosababisha yote haya yashuhudiwayo.
Kwenda kanisani ni ibada mojawapo, na ibada yoyote ile lazima iwe na sadaka.
Miaka ya hivi karibuni yametokea mabadiliko makubwa sana katika imani, viongozi wa imani ndio waliobadilika na kusababisha haya yote.
Hii imepelekea sadaka kanisa kuwa Kama fashion fulani hivi.
Huku kwetu nisingependa kukutaja, tunaujenzi wa kanisa.
Mimi Ni muamiaji wa eneo hilo kwa Sasa Ni miaka mitano, nilipokuja hapa nilikuta harakati za ujenzi zikiendela na kupamba moto kiasi Cha kusema mwakani tu kanisa tayari.
Lakini huwezi amini mpaka leo hii Ni msingi peke yake ndio umekamilika.
Kipindikile 2016 taarifa za mapato ya ujenzi zilikua zinasoma milioni 800.
Kila siku kila mwezi kila nyakati Ni mchango wa ujenzi wa kanisa.
Jumuiyani huko kila ukipumua Ni ujenzi wa kanisa.
Nimesali makanisa kadhaa mikoa mbali mbali lakini sijawahiona kanisa lenye waumini wanaojitoa Kama hili, sadaka za ibada kwa wiki Ni milion 7.
Michango ya ujenzi milioni 60 kwa mwezi, lakini mwaka karibu wa kumi Ni msingi pekee ulio kamilika katika ujenzi wa kanisa.
Sasa kwa hapa unadhani Ni wangapi waliokatishwa tamaa na hali hii na kupelekea kutokuhudhuria kanisani?
Yaan boss kwa hali ya Sasa huko kanisani kusema unaenda kumuabudu Mungu huwenda ukajidanganya aisee labda kusema tunaenda kujumuika tu na jamii.Na hapo ukihoji, utasikia eti usiwaseme vibaya watumishi wa Mungu.
Yaani kuna mmoja ninamfahamu, amezaa na bidada flani hapa mtaani na anamuhudumi kama kawaida na anaenda pale kama mume kabisa.
Kuna mwingine yeye tunakatanae maji baa kila jioni.
Kuna mwingine yeye alipata ajali na gari la kanisa, akilwa na mhudumu wa bar ambae akafariki papohapo.
Kwakweli minaenda kanisani ili nikamuabudu Mungu wangu tu, mengine huwa sitaki hata kuyafikiria
Hapo ninatilia mashaka na afya yako ya mwili au akili.Niliacha kwa sababu ya wale dada zetu wanao tuvalia nguo za kutamanisha kanisani.
Niliona wazi na jiongezea dhambi tu ndani ya kanisa kwa kuwa taman
Mimi mapdri wangu wamekua kituko,kila shetani akienda kusali wanampa nafasi ya kuropoka madhabahuni...kanisa limekua jukwaa la kumsifu shetaniHuwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).
Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.
Nini sababu yako?
kafungie wilayani mkuu zote zina hadhi sawa kwa DCNawaza jinsi gani nitafunga ndoa bila kuingia kanisani, kama ni lazima basi ni hicho tu kitanirejesha huko... japo nitawekewa vikwazo kama vyote!
Kafanyaje mkuu?Mtu kama Sylvester Gamanywa anakuwaje kiongozi wangu!
OngezaDahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
VIWAWA, KAPU LA MAMA, KAPU LA PAROKO, KAPU LA MAKATEKISTA, KAPU LA MASISTA, KAPU LA REDIO MARIA, UJENZI WA KANISA, SADAKA, SHUKURANI, KUMSHIKA MKONO BABA PAROKO, KAPU LA BABA ASKOFU, alafu wao tunavyolalamika maisha magumu mambo hayaendi wao wamekalia kusifia na kujipendekeza kwa Mzee wa ChatoHuwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).
Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.
Nini sababu yako?
The p in islam stands for 'peace'Hao sio Waislamu
Islam ni Aman.. Uislam unamtaka Muislamu kumpa haki asie na Muislamu..
Uislamu unamkataza Muislamu kuto mlazimisha yeyote katika dini isipokuwa kumlingania akipenda..
Halafu we mdada nimeanza kukupenda bure...Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
Tunasubiri kutimiza aliyotuahidi wana Kawe Sasa. Hapo ndipo mtego ulipo na huduma yakeCarleen Ungekuwa muumini wa kanisa la Gwajiboy ungeendelea kwenda kanisani.. kwa sasa akiwa ni mchungaji/mwanasiasa. Ukijumuisha na swala la wazi lililotokea Kawe linalovunja amri ya 'Usiibe' na 'Usiseme uongo'....Kuna msemo unasema 'hauwezi kuwa mwanasiasa bila kusema uongo'