Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,148
- 12,606
Elimu hii umeipatia wapi?ilikuwa Uislam wanaweza kuvamia Kijiji na kuamrisha kila mmoja kujiunga nao ama uchague kifo.
ISIS, Boko Haram, Al-Qaeda, Al Shabab n.k bado hawajotoka enzi hizo. Reforms ni muhimu sana kwa dini yoyote.Kwa ufupi ilikuwa ni kueneza msalaba kwa kumwaga damu za watu. Maarufu "Crusada".
Kisa ni kirefu sana, mauwaji yalikuwa yakutisha kila walipokanyaga duniani.
Ntarudi hapa kumwaga vipande kila nnapojaaliwa.
Mpaka sasa kanisa katoriki linaendeleza siasa za kichochea mauaji duniani kote sema sio moja kwa moja.Wakatoliki walishakubali hayo yalikuwa mambo maovu na ya aibu kubwa. Twende upande wa pili
Sasa utajulia wapi wakati huna elimu ya historia?sijawai ona wala sikia ukatolik ulienezwa kwa upanga , ila kwa waislam mpk leo inaonekaba live kbs , dini yao unaenezwa kwa upanga
thibitisha maana waislam ndo walopokaj wakubwa dunianAliyesema "dumia ndio inayozunguka jua alienda kinyume na imani ya kikatoliki, alinyongwa". Hakika dini ni utumwa.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hao wapagani ulikuwa na haki gani ya kuwarazimisha ukristo wenu.unapaswa kuelewe ilikuwa vita dhidi ya wapagani sio waislam , ila waislam mpk leo wanachinja watu
Madhehebu yote ya ukrisito ni zao la Ukatoliki.Hao walio chinja watu hawakuwa Wakristo hakuna popote Ukristo unalazimishwa ilikuwa ama uwe Islam au Mkatoliki
Asilimia 80 ya mauaji ambayo yalisha tokea ndani ya dunia hii yame fanywa na wakristo.jiulize ww kwanin mnaua watu wasio na hatia kwa upanga na silaha , by alshabab , is , al ansar etc je ni sawa kuua watu wenye imani yao ila sio sahihi wakristu kuua wapagan ambao walikuwa wanachochea ghasia kwa imani zao za kishirikina?
Nisawa kwa leo ipo hivyo, lakini unapaswa kujua kati ya Ukristo na Ukatoliki kipi kilianza.Madhehebu yote ya ukrisito ni zao la Ukatoliki.
Wewe mgalatia jikite kwenye mada acha kuzungusha kiuno hapa,haya matakataka unayo andika hapa nenda kafungue thd yako tutakuja kujadili huko,acha kudivert mada.kwann tuende mbali haya ya leo huyaoni ? je kuna faida gan kuacha haya ya alshabab , boko haram , al answar , is central africa , halaf tujadili mamb ya zamn kbs , au hayo ya wakristu kueneza ukristu huko baran kwao( maana haikuwa nje ya ulaya kama Mohamed aliua waafrika magharibi na kaskazin kueneza dini yake ) je hayo ya crusade baran ulaya yanahalalisha chochote wanachofanya akina alshabab , boko haram au is central africa au janjaweed au al answar kwa kuua na kuchinja waafrika wenzao
Dada jikite kwenye mada acha mihemko,kama huna cha kuchangia nenda jikoni ukakate vitunguu.al shabab , is , boko haram , al ansar , taliban , hezbollah , hamas etc
Mkuu hebu funguka zaidi,unaonekana kuna jambo unalijua zaidi.Ukristo siyo Ukatoliki wengi hawajui hii kitu Ukatoliki umeuvaa Ukristo kama vazi tu ukiutumia kufanikisha mambo yake . Ukisoma Biblia na ukiungalia Ukatoliki ni vitu viwili tofauti kabisa.
Dini kuu mbili yaani Ukrisito na Uislam vilipata nguvu kwa sababu ya upanga hilo halina shaka na yeyote atakaye bisha juu ya hilo ni mwenda wazimu.Tuanzie na kwanini Papa alitangaza crusade? Ilikuwa response ya nini.
Turudi nyuma kabla ya crusade Waislamu walifanyaje mpaka Uturuki nzima ikawa ya Waislamu watupu na Constantinople ikatekwa makanisa kubadilishwa kuwa misikiti na mji kuitwa Instanbul. Kwanini Agia Sofia lilikuwa cathedral na uislamu ulioingia na Ottoman empire ukalifanya msikiti kabla ya Mustafa Kemal Ataturk kuzuia hilo na baadae miaka hii ya juzi Erdogan ndio akalifanya msikiti.
Turudi kule Spain ambako Uislamu uliishia na mapigano yakaanzia kuuondoa. Uislamu uliingia na kuondoa tawala za kifalme pale Europe, Habsburg empire kule Austria Hungary ikakataa na kuanzia uko milimani kupigana na Waislamu. Sio dini wala Papa aliwaagiza. Sababu zilezile zinafanya Waislamu wapigwe India na Myanmar ndio hizohizo zilifanya wapigwe Ulaya. Au India nao wako chini ya Papa?
Unajua kwamba Mehmet II Sultan wa Ottoman maarufu kama Mehmet the Conqueror alikufa akiwa kwenye march ya kuivamia Italy? Ukouko ambapo kuna Rome makao makuu ya Roman Catholic? Ndio huyohuyo aliiteka Constantinople na kuhitimisha Byzantine empire ya Wakristo na wasio na dini. Sasa ulitaka crusader isitokee Waislamu wachukue Rome?
Yaleyale, wafyatue maroketi mshangilie, wapigwe mabomu mdai haki za binadamu.