Mkuu hilo ni la kwelii? Embu dadavua ilivo kuwaMimi nimeachwa juz kisa eti nimeshindwa kumnunulia iphon x....akati mim mwenyew sina aiphon hakumbuki ata nilivyojitolea kuhusu problem zingine...aaaaaargh
Mmh anamatumiz hovyo sijawah ona hajal kabisa uchumi wangu haumuwez mi najua marafik wamemponza kafanya hiv akijua ntabembeleza sasa atajutaHahahahahaha Afadhali amekuacha hakuna mwanamke hapo .....mtu mwenye akili timamu hawezi kulilia iPhone x....
Wenzie tunalilia mitaji ye analilia vitu vya kijinga mfyuuuuu shukuru mzee hamna mtu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae bwana hajielewi badoMmh anamatumiz hovyo sijawah ona hajal kabisa uchumi wangu haumuwez mi najua marafik wamemponza kafanya hiv akijua ntabembeleza sasa atajuta
Ni kweli man japo hajanitamkia ila kapiga buyu inaenda wiki sasa huyo si kaniacha kuna rafik yake anayo 6 sasa yey anataka matawiMkuu hilo ni la kwelii? Embu dadavua ilivo kuwa
Kwani wewe hata yanaweza kukupata wakati madame b alishajikabidhi kwako na kuutangazia una, sasa nn tena?Swala hili limewatokea wengi, unampenda mdada, unamuomba awe girlfriend au muwe kwenye mahusiano, sasa ikitokea yeye alikuwa anakupenda ila alishindwa kukueleza hapo sawa mtakaa sawa ila kama hajwahi kukuona na hajakupenda basi kinachofuata ni yeye kutumia nafasi hiyo vizuriii kwa kukuomba hela na mengineyo kama njia moja wapo kupima uzima wa mfuko wako au kuamua kukukimbiza au achote kwanza mpunga na ajue kama uko imara ndio labda akubali. Anapokwambia umpe mpunga basi mwanaume unahangaika sana,utafanya juu chini ili apata anachotaka.
Nauliza kina dada kwanini mnatunyanyasa.
View attachment 1004632
Umeolewa? Mwanamke wangu yuko radhi nimnunulie home theatre ya laki saba kuliko kumpa laki tisa ya mtajiHahahahahaha Afadhali amekuacha hakuna mwanamke hapo .....mtu mwenye akili timamu hawezi kulilia iPhone x....
Wenzie tunalilia mitaji ye analilia vitu vya kijinga mfyuuuuu shukuru mzee hamna mtu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaaaaaa ana kichaa huyo eeeeehUmeolewa? Mwanamke wangu yuko radhi nimnunulie home theatre ya laki saba kuliko kumpa laki tisa ya mtaji
Acha kabisa sijui ananifanyia makusudi ama
Sio kusudi ila hajajitambua badoAcha kabisa sijui ananifanyia makusudi ama
Mimi nimeachwa juz kisa eti nimeshindwa kumnunulia iphon x....akati mim mwenyew sina aiphon hakumbuki ata nilivyojitolea kuhusu problem zingine...aaaaaargh
Mkuu chukua mkopo bank mnunulie iyo simu au upite na gari mpya uvimbe mtaani umuoneshe kwamba wewe ni kidume unaeza miliki vitu zaid ya iyo IPhone X.
Wakati wa kulipa upambane munyewe..
Sent using Jamii Forums mobile app