chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,727
Hili jambo bado linatifakarisha sana kulingana na rekodi za watu au mtu atakaye taka kupata ukweli wa haki kuhusu hatima ya nchi yake!
Sina mengi ya kueongea najua mifano hipo mingi tu, tumeona Uamusho, Azory Gwanda, Tundu Lissu na wengine ila kwa Mbowe ni mfano tosha!
Siku njema
Sina mengi ya kueongea najua mifano hipo mingi tu, tumeona Uamusho, Azory Gwanda, Tundu Lissu na wengine ila kwa Mbowe ni mfano tosha!
Siku njema