Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Kama chipset inasaidia simu kutoisha chaji sana mbona iphone simu zake ni miongoni mwa ambazo hazikai na chaji na umesema chipset yake ni powerful?
Unatumia iphone ipi ambayo haikai na chaji
Kama chipset inasaidia simu kutoisha chaji sana mbona iphone simu zake ni miongoni mwa ambazo hazikai na chaji na umesema chipset yake ni powerful?
6s au inatakiwa ikae na chajiUnatumia iphone ipi ambayo haikai na chaji
Kutokana na mAh ndogo za battery ambazo iPhone anaziweka kwenye simu zake basi itoshe kusema kuwa simu hizo za iPhone zinajitahidi sana kukaa na chajiKama chipset inasaidia simu kutoisha chaji sana mbona iphone simu zake ni miongoni mwa ambazo hazikai na chaji na umesema chipset yak
Hoja ya mAh ndogo hua inapinduliwa kwa hoja ya "mAh siyo kila kitu kwenye simu kukaa na chaji" samsung huwa wanasema simu zao hazikai na chaji coz vioo vya AMOLED vinatumia nguvu mno.Kutokana na mAh ndogo za battery ambazo iPhone anaziweka kwenye simu zake basi itoshe kusema kua simu hizo za iPhone zinajitahidi sana kukaa na chaji
Jibu ni hili makampuni yoyote sasahivi yanayotoa simu frem iko flat na back side kuko flat hiyo design wameiga kwa iPhone 12 basiiii no mjadala jibu ndio hilo
Mkuu kinachobonda charge ni OS nzima ya simu na namna yake ya ufanyaji kazi.Kutokana na mAh ndogo za battery ambazo iPhone anaziweka kwenye simu zake basi itoshe kusema kua simu hizo za iPhone zinajitahidi sana kukaa na chaji
sema sababu ni easy kukopy,samsungu edge dicplay sijui kama infinix na tecno wanaweza poteza muda kuunda waje wakuuzie laki mb
Tecno phantom x wameiwekea edge display na ni super AMOLED bei yake ni 1,300,000sema sababu ni easy kukopy,samsungu edge dicplay sijui kama infinix na tecno wanaweza poteza muda kuunda waje wakuuzie laki mbili.
Hio simu nayo ni overpriced kupita Maelezo zaidi ya M unapata flagship kabisa.Tecno phantom x wameiwekea edge display na ni super AMOLED bei yake ni 1,300,000
Una uhakika na hicho ulichokijibu!!? Infinix zero X mwendo ni ule ule mediatek kama kawaSio kweli infinix zero 6 pro ina Qualcomm snapdragon kabla hujalopoka fanya research kwanza
Yah kwahiyo wanaiga tech ambazo sio gharama.Tecno phantom x wameiwekea edge display na ni super AMOLED bei yake ni 1,300,000
Inategemea na iphone zipo zinazokaa na chaji kama 13 pro max, 11 pro max etc.Kama chipset inasaidia simu kutoisha chaji sana mbona iphone simu zake ni miongoni mwa ambazo hazikai na chaji na umesema chipset yake ni powerful?
Unashindwa kuelewa speed ya ram na size ya ram, hata uwe na ram 128GB haitafanya simu iwe na speed,Hizo Qualcomm snapdragon ndio engine ya simu au ndio ubongo wa simu kuiwezeaha simu kuchakata mambo haraka na nguvu ya kusukuma apps nzito kama games hiyo inahusika na mfumo mzima wa simu kama camera kutoa picha safi battery kutokuisha haraka nk ila yapo makampuni mengi yanayo tengeneza hizo chip na kuyauzia makampuni ya simu ila pia kuna makampuni mengine ya simu yanatengeneza za kwao wenyewe kama Samsung ana cheapest inaitwa Exynos Huawei anayo chipset yake inaitwa kirin google pixel nae pia anayo ya kwake inaitwa google tensor licha ya samsung kutengenezea Chip zake za Exynos lakini bado anatumia chip za makampuni mengine kama Qualcomm snapdragon na Mediatek Helio
Qualcomm snapdragon hii inakuwa nzuri ikiwa na namba kubwa kuanzia 800 mpaka 888 na kuendelea sasa hivi wametoa 8 Gen 1 iko kwenye galaxy s22
Mediatek Helio hii nayo inakua nzuri pia namba ikiwa kubwa kuanzia G80 mpaka G95 na kuendelea sasahivi wametoa inaitwa dimensty hii ni hatari na nusu
Licha ya yote hayo iPhone anayo ya kwake hashei na mtu yeyote inaitwa Bionic sasahivi anayo Bionic 15 ni shida ndio maana hakimbilii kujaza ram 16 kwenye simu kama Samsung iPhone yeye simu yake yenye RAM kubwa mwisho ni 6 lakini iko fasta ukizifanyia speed test simu yenye RAM 16 na iPhone yenye RAM 6 iPhone anaibuka mshindi
Sio zero x ni zero 6 pro ina Qualcomm snapdragonUna uhakika na hicho ulichokijibu!!? Infinix zero X mwendo ni ule ule mediatek kama kawa
Hv una taarifa iphone 13 pro max ndo flagship inayoongoza kukaa na chaji kuliko flagships zote na battery yake ni ndo kuliko hzo flagships nyengine?Kama chipset inasaidia simu kutoisha chaji sana mbona iphone simu zake ni miongoni mwa ambazo hazikai na chaji na umesema chipset yake ni powerful?
6s au inatakiwa ikae na chaji
Sh ngapi uliinunua na upo tayari kuiachia kwa sh ngapiNikiichoka hii ndio ntaiiuza au mtu akija na Bei reasonable Redmi Note 10 Pro 8GB Ram, 128 Storage, 108megapixel