Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
- Thread starter
- #41
Wote tunajua kuwa miaka 50 ya uhuru hatukutakiwa kuwa hapa, CCM wameshindwa kutufikisha tunakotakiwa tuwe.Nadhani tuweke pembeni uchama na tuwe WATANZANIA halafu tujiulize MIAKA 50 ya serekali ya CCM, je ilipaswa tuwe hapa au tuwe mbele zaidi kimaendeleo? Jibu lako ndio KURA YAKO.