Kwanini Uislamu umerahisisha sana taratibu za mazishi na ndoa.

Tena nyie waislamu kwenye ndoa haswa waislamu wa siku hizi ndo mnaanza ku complicate unakuta mtu ndoa(nikkah) washafunga halafu siku ingine ndo inafanyika reception labda useme kwenye kuzika tu nyie ni simple lakini hakuna utu unakuta mtu anakimbizwa wee utafikiri watu wamemchoka daah...
True, ila hiyo ya reception ni hulka za watu.
Haipo ktk mafundisho.
Na wengine huwa hawa fanyi hayo.

Kwenye kuzika.
Si unajua mambo ya imani brother.
Iko hivi, binadamu hana uwezo wa kumhukumu mwenzie, ivyo basi akifa mmoja wetu hatujui huko aendako atafikua mahala pazuri au pabaya.
Ila siku zote tunaambiwa kutakiana mema, hivyo basi huwa tuna aminiuob
Kwa utaratibu wa sheria ya kiislam kuoa ni rahis kuliko kuacha.
iweke hapa hiyo sheria.
Then nita amini usemalo
 
Duh! Kwa habari ya wake wa wasaidizi wake niliandika hivi;

" ... Angalau wawili katika wakeze 13; Rayhana bint Zayd na Maria al-Qibtiyya; aliwatwaa kutoka kwa wasaidizi wake; ...";

kisha nikaandika hivi

"Kwa hayo machache, tunaweza kuona mazingira ya ndoa za Mtume yalikuwa ya "ad-hoc"; dharura zaidi ikilenga "kuwasaidia" wajane wa vita au kuwatwaa wake wa wasaidizi wake."

Hakuna niliposema waliokuwa wake wa wasaidizi wake alilenga kuwasaidia bali aliwatwaa akawaoa. Waliosaidiwa ni wajane!
Yule mdogo alimbaka mkuu!
 
Wapi kwenye ukatoliki wanalażimisha kufunga ndoa za gharama? Hayo ni matakwa ya mtu binafsi bwana!! Kinachotakiwa ni bwana na bibi na mashahidi wao wawili basi. Mengine ni mbwembwe tu
Kubatizwa ni ishu...
Kuzikwa ni ishu...
 
Hizo shughuli si lazima ufanye kubwa......

Kwa maana haijalazimishwa mtu afanye sherehe kubwa au kuwa na shughuli kubwa ya mazishi.... Ni maamuzi na utashi wa baadhi ya watu.
 
Wote, tabia na mienendo yao katika NDOA na MISIBA taratibu za gharama zinafanana inategemea tu ANAOA/KUOLEWA nani?

Kama familia/ukoo ambao haujajaaliwa mambo yao mepesi tu.lkn ukiwa ukoo/familia imejaaliwa gharama aikwepeki. Kote si MUISLAMU WALA MKRISTO.

Halikadharika MISIBA vivyo hivyo, inategemea aliyefariki ni MTU mwenye HADHI gani? kama mzito gharama zitajibeba zenyewe kama Mwepesi vivyo hivyo.

Lkn ktk NDOA mengi ni ya Wanadamu, lkn Mungu ameweka ONA, FUATA WAZAZI AMBAO WATAMUULIZA MUOLEWAJI AKIKUBALI HIYO TAYARI NDOA.

Mengine ni mbwembwe za WANADAMU.
 
DINI YETU inatwambiya katika vitu ambavyo vinapswa KUHARAKISHA ni NDOA,,,MTU AKIFA AZIKWE haraka,,,na popote,,,na MTU AKITAKA KUSILIMU pia MSIMCHELEWESHE.....NDOA ukiichelewesha huenda MMOJA AKABADILISHA MAWAZO,,,MTU akitaka KUSLIM mkimchelewesha HUENDA AKABADILISHA MAWAZO,,,MTU akifa anapaswa MUMUWAHISHE NA SAFARI YAKE YA AKHERA,,,kumtafutia MAVAZI YA SUTI NA SANDUKU LA GHARAMA,,,havimsaidii KITU..
 
Amani iwe kwenu waja wa mwenyezi Mungu,.....
Moja ya vitu ambavyo uislamu unataka vifanyike kwa haraka wakati ukifika ni ndoa na kuzika.
Sababu kubwa ni kuepusha fitna ya dunia na maaswi...
Katika dunia ya Leo naona ndugu zetu wakristo mda mwingine nawahurumia hasa kwa wale masikini.
Ndoa imekuwa inawapa stress wanandoa kiasi kwamba hakuna furaha ili ndoa ikamilike inakuhitaji uwe na mamilioni.
Ila katika uislamu ndoa ni jambo jepesi mno nimeshuhudia MTU anaoa kwa laki1+mahari jambo ambalo kwa upande wa pili haliwezekani.
Katika uislamu unahitaji kumzika maiti pale tu akifariki hatakiwi kucheleweshwa na gharama uwa ndogo sana chini ya 50000 inategemea na mazingira ila kwa upande wa pili maiti ni gharama
Ndugu wanaumia kuchangishana coz ni dharura...
Ndugu zangu wakristo Kiukweli napata wasiwasi kwann ndoa na misiba yenu ni gharama mno?
Utaratibu huu kauleta nani? Kuna wenzi wanapenda na wanataka kufunga ndoa BT wanashindwa...
Wengine wanagombana michango ya sanduku la kuhifadhi maiti...ili halipo katika uislamu sisi tunatumia jeneza1 hakuna gharama.....
Wenzetu shida wapi...au maandiko yanawahitaji kufanya haya?
Hoja yako ya msingi ni nini? Je ni gharama kuwa kubwa au kufanya haraka? Hivi haiwezekani ukafanya haraka lkn kwa gharama kubwa?
Lkn umeeleza sababu ya kufanya haraka eti ni kuepusha fitna ya dunia na maaswi kwa nn usinge jikita kuelezea kuepusha fitna ya dunia na maaswi
 
Mkuu hiyo dini yako au yenu naona inamnyima mtu fursa ya kufikiria kwa kina asije akabadili mawazo huoni kama ina ujanja ujanja fulani hivi
 
Kwenye kuzuka ndo nachoka mana mda mwingine MTU anaweza piga chafya lakini kabla hajapiga chafya kashazikwa
 
Kufunga ndoa kuwa simple kwani hiyo imewekwa na Dini au ni mtu tu anajiamulia tu?

Mkristo ukiamua kufunga ndoa simple unafunga tu, kanisa halikulazimishi kufanya sherehe kubwa,

Hukumsikia Magufuli anasema yeye na mke wake, ambao ni Wakristo walifunga ndoa bila suti na shela na wakanywa Pepsi na Mirinda tu?

Wapo Waislam wanafunga ndoa za gharama na sherehe kubwa pia

Hukumuona Ali Kiba na mdogo wake wakifunga harusi za gharama zilizokuwa publicized sana?

Kwenye maziko pia, unajiamulia pia wewe mwenyewe, mkiamua kumzika tu na sherehe ndogo hakuna atakayewazuia kuwa eti Wakristo hatuzikagi bila sherehe kubwa

Umemjibu vizuri sana ndugu Mungu akubariki sana
 
Mimi najua ni kwa sababu ya kupiganwa vita vya jihad mara kwa mara, so mambo yanatakiwa kwenda chapu chapu.
 
Back
Top Bottom