Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.
Hatari sana. Nipe aya ya mabikira 72 na mito ya pombe peponi. Huu mstari upo kwenye Quran?
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.
Acha kupotosha na usiwe mjinga kasom uelewe
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.




Screenshot_20230703-005117.png



Dogo kaa chini usome acha kutafsiri wakati hata source language hujui , punguza ujinga na ufala kudanganya watu .

Soma Ayah kama ilivyo kama hujui sema nikufundishe sio kujidanganya wajinga wenzio hapa.
 
Huyo ni aina ya watu walioshindwa kujicontrol wale wazinifu ,walevi so ukimueleza dini anaona kama hatowezi kufuata.

Ubaya ,bado ana akili za kitoto akikua atatulia na ataelewa.
Quran 2:97“Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Nipe tafsri
 
Short tu isiwe ndefu

Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume

Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume

Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam

Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi

Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia

Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma

Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote

Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
Hii picha inahusiana na hii mada ?
 

Attachments

  • 1684650687452.jpg
    1684650687452.jpg
    36.2 KB · Views: 12
Short tu isiwe ndefu



Hata kuna vifungu kwenye biblia...

Sasa kijana unataka tutumie kitabu kinachojisifu kuwa mungu wake ana...

1 Wakorintho 1:
25
Kwa sababu upumbavu wa Mungu... na udhaifu wa Mungu...

Ndiyo tu justify Uislam kwa vifungu hivyo? Unanchekesha.

Yaani huwa nashangaa watu wengine akili zenu sijuwi zikoje zikoje.
 
Tatizo wanahisi Qur an inafasiriwa fasiriwa tu kama kule kwao! Zama wakati hata zama tulizopo mie sjaona sheikh akija na tafsir yake katika kufasiri Bali wanatumia na kurejea fasir za mfasiruna waliokwisha fasir zama zilizotangulia..hawajui kwamba no dhima na amana kubwa kufasiri!

Na hata wangekisoma icho kiarabu bado hawatoweza kufasiri kamwe!

Kufasiri ni ilimu haswa! Imejitegemea na lazima Allah akufungulie zaidi kukielewa kitabu chake, ndio utaskia alifu iliyokuja hapa maana yake ni hivi, lam ya hapa sjui ni kutia nini, in short Qur an it self ni miujiza, ndio maana we Muslims hatupo sana miracle oriented maana almost everything in Islam ni muujiza,

Namna Hukmu za Qur an tu zilivyo ni muujiza, ni kiarabu ila ukisomeshwa kiarabu pekee bila kusomeshwa Qur an still huwezi kuisoma na kuielewa Qur an, huo tena ni muujiza

Dini yetu ina ahkami nyingi sana, ahkami za swala, za funga, sjui za hijja, za ndoa wao hawana ahkami, fatwa wala fiqih huo tayari ni muujiza

In short uislaam huwezi kuujua unless umekuwa muislam otherwise utakuwa unajidanganya

Huna elimu hata ya kujihudumia kwa choo afu wataka ufasiri Qur an, vijana bwana!
 
Tatizo wanahisi Qur an inafasiriwa fasiriwa tu kama kule kwao! Zama wakati hata zama tulizopo mie sjaona sheikh akija na tafsir yake katika kufasiri Bali wanatumia na kurejea fasir za mfasiruna waliokwisha fasir zama zilizotangulia..hawajui kwamba no dhima na amana kubwa kufasiri!

Na hata wangekisoma icho kiarabu bado hawatoweza kufasiri kamwe!

Kufasiri ni ilimu haswa! Imejitegemea na lazima Allah akufungulie zaidi kukielewa kitabu chake, ndio utaskia alifu iliyokuja hapa maana yake ni hivi, lam ya hapa sjui ni kutia nini, in short Qur an it self ni miujiza, ndio maana we Muslims hatupo sana miracle oriented maana almost everything in Islam ni muujiza,

Namna Hukmu za Qur an tu zilivyo ni muujiza, ni kiarabu ila ukisomeshwa kiarabu pekee bila kusomeshwa Qur an still huwezi kuisoma na kuielewa Qur an, huo tena ni muujiza

Dini yetu ina ahkami nyingi sana, ahkami za swala, za funga, sjui za hijja, za ndoa wao hawana ahkami, fatwa wala fiqih huo tayari ni muujiza

In short uislaam huwezi kuujua unless umekuwa muislam otherwise utakuwa unajidanganya

Huna elimu hata za kujihudumia kwa choo afu wataka ufasiri Qur an, vijana bwana!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sahihi!!

Imagine kama uislamu usingekuwa na Qur an ambayo lugha yake ndo source language ,basi kila lugha wangekuwa na tafsiri yao ya Qur an ni zingekuwa tofauti..

Ndo maana tunatakiwa kusoma origin yake ndo upeleke kweny lugha nyingine la sivyo wangebadilisha na kudanganya watu.

Kuna jamaa hapo juu nilibishana nae aisee hakuna Ayah ameleta ipo sahihi sijui hizo tafsiri anatoa wapi na sijwahi kuziona tangu nizaliwe.

Ndo maana hata nukta ikikosewa watu wanajua sasa hao wanafikria sisi ni wajinga 😅😅kama wao .
 
Waislamu wengi huwa hawawezi kujibu hoja wala kuelezea kuhusu mafundisho ya dini yao hiyo kwasababu hawajui lugha ya kiarabu. Wao wanachojua ni kuchinja watu, kutukana watu, kuwabagua watu n.k
Nilitegemea utakuja na hoja za kuelezea, kweli watu wakaamini. Umeishia ku-quote mstari wa kiingereza kwenye Google kisha uka-paste.
Ukitaka kujua waislamu ni weupe vichwani mwao, waulize. Nielezee kuhusu Nabii Issa, kuzaliwa kwake mpaka kupakaa kwake. Ataishia kukwambia Nabii Issa ni Yesu.
Hivi umeshachinjwa na Waislam wangapi mpaka sasa? Pole sana kijana, una uhakika ni Waislam au uliona wale wavaa kanzu wa kanisani wanakuchinja na matusi juu, ukadhani Waislam?

Nimekuelewa sana tafsida yako ya "kuchinjwa" na "matusi" juu.
 
Hivi umeshachinjwa na Waislam wangapi mpaka sasa? Pole sana kijana, una uhakika ni Waislam au uliona wale wavaa kanzu wa kanisani wanakuchinja na matusi juu, ukadhani Waislam?

Nimekuelewa sana tafsida yako ya "kuchinjwa" na "matusi" juu.
Ha ha ha ha ha
Siku hizi watu wa kanisani nao wanavaa kanzu?
 
Kwani kwenye ukristo kuna sehem imeanisha kiongozi mwanamke?

Au utamzungumzia Esther

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Ester hakuwa kiongozi labda Debora katika kitabu cha Waamuzi, kuna Mtu anaitwa Baraka alipaswa kuwa kiongozi hasa wakati wa vita, alikatas kwenda peke yake na akampa Debora nabii mwanamke awe kiongozi wa vita na aliongoza vita wskashinda.

Agano jipya Paulo ameweka msimamo kuwa mwanamke yeye apaswa kuwa msikilizaji na awe kimya Mwanaume asimamapo kuongoza au kunena
 
Badala ya kuelezea umeanza kutukana na kujigamba. Inakusaidia nini zaidi ya kuonekana haujui chochote? Watu wanataka uelezee maana ya huu mstari ila umecopy link ya kiingereza umepaste. Kwa maana hiyo Quran iliteremshwa na Jibrail.
Quran 2:97
“Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Hujui kitu acha uongo na upotoshaji .

Hamna mtu anawezq kukubali hiyo tafsiri yako zaidi ya wajinga wasiojua kusoma kama wewe 😅😅

Kwa nn usilete ayah ikiwa na ukweli badala yake unapotosha kwa ujinga

Jibril amepeleka Qur an kwa idhini ya Mwenyewe Mungu na wala sio maneno yake..Yeye aliwasilisha kama ilivyo maana watu wangeuliza mbona Malaika Jibril ndo alikuwa anampa ufunuo Mtume,Je hayo maneno kayatoa wapi?
 
Hujui kitu acha uongo na upotoshaji .

Hamna mtu anawezq kukubali hiyo tafsiri yako zaidi ya wajinga wasiojua kusoma kama wewe 😅😅

Kwa nn usilete ayah ikiwa na ukweli badala yake unapotosha kwa ujinga.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.

Kaka mbona ujaulizwa haya
 
Back
Top Bottom