Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

Short tu isiwe ndefu

Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume

Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume

Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam

Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi

Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia

Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma

Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote

Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
 
Short tu isiwe ndefu

Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume

Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume

Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam

Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi

Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia

Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma

Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote

Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
"Haitengemai ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia Mwanamke"
 
Short tu isiwe ndefu

Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume

Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume

Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam

Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi

Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia

Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma

Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote

Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
Hizi dini mbili, asilimia 99 ya waamini wao wanachokifuata sio maneno ya Mungu Bali ni Mila na desturi za eneo hilo la far east ( waarabu na wayahudi) wa zamani. Ndio maana unakuta watu wanavaa makanzu, wanaokula matende, zabibu, mikate ya ngano, nyumba za ibada kukaa chini, kufunga ndevu nk

Kwa wakati huo dunia nzima ilikuwa hivyo familia ilikuwa ni partenal ,ambapo mwanamke wakati huo alikuwa anahesabiwa kama sehemu ya Mali za mwanaume na hakuchukuliwa kama binadamu wa kawaida Bali mnyama kazi ( intrumentum voccale) Mwanamke hakuruhusuwa kusimama na kuongea lolote mbele ya mwanaume hata kawe katoto kadogo.

Ukifuatilia mafundisho ya Yesu Kristu , alipambana kuondoa Mila hizo potovu kwenye maandiko hadi wakamuua. Hivyo Mwanamke ni binaadamu wa kawaida mwenye UPEO sawa sawa na mwanaume hivyo andiko lolote linalowafanya wawe inferior mbele ya mwanaume kwa kumnyima haki zake za msingi na za kijamii ni la uongo na sii maelekezo ya Mungu
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.
Umeisoma hiyo aya vizuri au umelewa? Kwanza imeteremshwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, Pili ni UWONGOFU na biashara njema kwa waumini, sasa shetani anaingiaje hapa? ebu muda mwengine andika vitu vya maana
 
Hizi dini mbili, asilimia 99 ya waamini wao wanachokifuata sio maneno ya Mungu Bali ni Mila na desturi za eneo hilo la far east ( waarabu na wayahudi) wa zamani. Ndio maana unakuta watu wanavaa makanzu, wanaokula matende, zabibu, mikate ya ngano, nyumba za ibada kukaa chini, kufunga ndevu nk

Kwa wakati huo dunia nzima ilikuwa hivyo familia ilikuwa ni partenal ,ambapo mwanamke wakati huo alikuwa anahesabiwa kama sehemu ya Mali za mwanaume na hakuchukuliwa kama binadamu wa kawaida Bali mnyama kazi ( intrumentum voccale) Mwanamke hakuruhusuwa kusimama na kuongea lolote mbele ya mwanaume hata kawe katoto kadogo.

Ukifuatilia mafundisho ya Yesu Kristu , alipambana kuondoa Mila hizo potovu kwenye maandiko hadi wakamuua. Hivyo Mwanamke ni binaadamu wa kawaida mwenye UPEO sawa sawa na mwanaume hivyo andiko lolote linalowafanya wawe inferior mbele ya mwanaume kwa kumnyima haki zake za msingi na za kijamii ni la uongo na sii maelekezo ya Mungu
Paulo alikuja baada ya Yesu vip nae?
 
Short tu isiwe ndefu

Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume

Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume

Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam

Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi

Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia

Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma

Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote

Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
sio uislam tu!!! ata ukristo umekataza"kumbukumbu la torati"...ndo manake unaona roman catholic mwanamke hawezi kuwa padre,,,,hawa unaoona walokole wanawake wanasimama kwenye mimbari na nywele za dukani,wanafanya ubatili tu!!
 
Kwani kwenye ukristo kuna sehem imeanisha kiongozi mwanamke?

Au utamzungumzia Esther

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
hakuna. ni upotovu tu. Hakuna mahali katika Biblia mwanamke anatakiwa awe kuhani au kiongozi, isipokuwa katika huduma za kutegemeza. Kwa sehemu kubwa Samia ametawala tz kwa sababu ya ukristo la sivyo waislamu wasingekubali.
 
hakuna. ni upotovu tu. Hakuna mahali katika Biblia mwanamke anatakiwa awe kuhani au kiongozi, isipokuwa katika huduma za kutegemeza. Kwa sehemu kubwa Samia ametawala tz kwa sababu ya ukristo la sivyo waislamu wasingekubali.
ukristo hauruhusu mwanamke kuongoza wanamume.Samia ananjua kapatia wapi mamlaka

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Unavyoona nchi inavyoenda hivi ndiyo mambo ni shwari?
Hapana sijamaanisha nchi inaendeshwa vizuri.

Nlikuwa nkimaanisha utamaduni wa mwanamke kuzuiwa kuwa kiongozi ni utamaduni wa zama za kale.

Nkisema "Saizi mambo ni shwari" namaanisha kuwa huo utamaduni wa kukataza wanawake kuwa viongozi haufanyi kazi kwenye ulimwengu wa kisasa.

Umenielewa!?
 
Hapana sijamaanisha nchi inaendeshwa vizuri.

Nlikuwa nkimaanisha utamaduni wa mwanamke kuzuiwa kuwa kiongozi ni utamaduni wa zama za kale.
Wazee walipozuia wanawake kuwa na madaraka waliona vingi ndiyo maana dunia yao ilikuwa bora kuliko dunia yetu sisi tuliokataa mafundisho yao,mwanamke leo anajivuna anaweza kuzaa mtoto bila kuolewa akamlea mwenyewe mwisho wa siku tunakuwa na vijana wa hovyo wanaokataa kuoa wanataka waolewe wao kuziba pengo pale ambapo mama zao hawakuolewa.
Nkisema "Saizi mambo ni shwari" namaanisha kuwa huo utamaduni wa kukataza wanawake kuwa viongozi haufanyi kazi kwenye ulimwengu wa kisasa.

Umenielewa!?
Ulimwengu wa sasa ni janga dunia imegeuka tanuru kama hivi nchi yako inarudishwa zama za mawe kwa mikataba mibovu kwa sababu viumbe dhaifu vimepewa mamlaka visiyoyamudu.
 
Wazee walipozuia wanawake kuwa na madaraka waliona vingi ndiyo maana dunia yao ilikuwa bora kuliko dunia yetu sisi tuliokataa mafundisho yao,mwanamke leo anajivuna anaweza kuzaa mtoto bila kuolewa akamlea mwenyewe mwisho wa siku tunakuwa na vijana wa hovyo wanaokataa kuoa wanataka waolewe wao kuziba pengo pale ambapo mama zao hawakuolewa
Ubora wa dunia ya kale ukilinganisha na dunia ya sasa umejikita katika framework ipi?

Unataka kusema zamani hakukuwa na vijana wa hovyo wanaotaka kuolewa?

Ulimwengu wa sasa ni janga dunia imegeuka tanuru kama hivi nchi yako inarudishwa zama za mawe kwa mikataba mibovu kwa sababu viumbe dhaifu vimepewa mamlaka visiyoyamudu
Kama madai yako ni nchi kuingizwa kwenye mikataba mibovu kunaonesha udhaifu wa uongozi wa mwanamke..!?

Tanzania yenyewe imeshafanya mikataba mingapi ya hovyo huko nyuma kipindi cha utawala wa wanaume!?

Nchi ngapi za kiAfrica zimefanya na bado zinafanya mikataba ya hovyo zikiwa na viongozi wa kiume!?
 
Ubora wa dunia ya kale ukilinganisha na dunia ya sasa umejikita katika framework ipi?

Unataka kusema zamani hakukuwa na vijana wa hovyo wanaotaka kuolewa?
Unless uamue kukaza shingo kutoelewa,siujui umri wako lakini 2005 kurudi nyuma ishu ya ushoga ilikuwa kitu sensitive sana.tulikuwa tunaambiwa tu fulani ni shoga ilikuwa siyo rahisi kumuona shoga kwa macho na alikuwa akionekana anaweza akapigwa mawe au kuzomewa lakini leo unaona nini?vijana mitaani hadharani wanatembea makalio wameyabinua huku wamejipodoa wengine wanadiriki kusema wanataka watambulike na taifa.

Yaani kijana aliyezaliwa na uume anataka sisi wote,jeshi mahakama bunge tujue kwamba anamwagiwa shahawa makalioni wewe unadhani haya kwa wazee wetu yalikuwepo?kuwepo yalikuwepo lakini yalifanyika kwa siri kubwa (well dhambi zote zinafanywa sirini)
Kama madai yako ni nchi kuingizwa kwenye mikataba mibovu kunaonesha udhaifu wa uongozi wa mwanamke..!?

Tanzania yenyewe imeshafanya mikataba mingapi ya hovyo huko nyuma kipindi cha utawala wa wanaume!?
Mikataba mibovu ilivyotuumiza sana ilikuwepo but haijawahi kufikia hata kwa theluthi moja ya mkataba na kwa akili za kawaida hakuna aliyetegemea kama angetokea kiongozi mwengine aingie mikataba ya kishenzi kama hii.
Nchi ngapi za kiAfrica zimefanya na bado zinafanya mikataba ya hovyo zikiwa na viongozi wa kiume!?
Ni wazi nikikupa homework uniletee hapa mkataba uliosainiwa chini ya rais mwanaume unaokosa kifungu cha kuvunjika mmoja akienda wrong huwezi kuniletea.
 
Ubora wa dunia ya kale ukilinganisha na dunia ya sasa umejikita katika framework ipi?

Unataka kusema zamani hakukuwa na vijana wa hovyo wanaotaka kuolewa?


Kama madai yako ni nchi kuingizwa kwenye mikataba mibovu kunaonesha udhaifu wa uongozi wa mwanamke..!?

Tanzania yenyewe imeshafanya mikataba mingapi ya hovyo huko nyuma kipindi cha utawala wa wanaume!?

Nchi ngapi za kiAfrica zimefanya na bado zinafanya mikataba ya hovyo zikiwa na viongozi wa kiume!?

Tunatakiwa tu tubishe ila kwenye uhalisia tunajua uongozi unahitaji ujasiri/ukali ambao hatuupati kwa mwanamke

Kama unaamini dini unaweza kuelewa kitu mitume na manabii wengi wanaume ila kama hauamini dini inaweza likawa zogo

Hatusemi kama mwanaume hawezi kukosea ila mwanamke anahitaji usaidizi mwingi sanaa akiwa kiongozi mkubwa hasa wa nchi kama hivi

Wanawake wanatumia sana upande wao wa ubongo wa feeling na mwanaume mantiki so ni vitu viwili tofauti
 
Unless uamue kukaza shingo kutoelewa,siujui umri wako lakini 2005 kurudi nyuma ishu ya ushoga ilikuwa kitu sensitive sana.tulikuwa tunaambiwa tu fulani ni shoga ilikuwa siyo rahisi kumuona shoga kwa macho na alikuwa akionekana anaweza akapigwa mawe au kuzomewa lakini leo unaona nini?vijana mitaani hadharani wanatembea makalio wameyabinua huku wamejipodoa wengine wanadiriki kusema wanataka watambulike na taifa.

Yaani kijana aliyezaliwa na uume anataka sisi wote,jeshi mahakama bunge tujue kwamba anamwagiwa shahawa makalioni wewe unadhani haya kwa wazee wetu yalikuwepo?kuwepo yalikuwepo lakini yalifanyika kwa siri kubwa (well dhambi zote zinafanywa sirini)
Hapo umekubali kuwa yalikuwepo, hivyo mjadala unaishia hapo na hoja yako ya dunia ya kale kuwa bora kwasababu ya issue nzima ya ushoga inakosa nguvu.

Hapo kilichobadilika tu ni utandawazi.
Saizi tunawaona sana hata kupitia social media.
Isingalikuwa social media huenda usingelitambua uwingi wa matendo haya ya ushoga.

Ukitaka kujua jambo hili linazungumzwa sana mitandaoni, na mitandao ndio inapush kwa sana tujue habari za mashoga, fanya kujiuliza bila ushabiki kuwa jamii yako ulipo unashuhudia ushoga kwa rate kiasi gani?

Mikataba mibovu ilivyotuumiza sana ilikuwepo but haijawahi kufikia hata kwa theluthi moja ya mkataba na kwa akili za kawaida hakuna aliyetegemea kama angetokea kiongozi mwengine aingie mikataba ya kishenzi kama hii.
Hatukutegemea sawa, lakini unauhakika gani kuwa hatokuja kutokea pia mwanaume mwingine akatuingiza cha kike kama huyu?

Na kwanini wanaume wengi ambao ni wasaidizi wa huyu mwanamke nal wamemshauri na bado wanaupambania mkataba huu tuuonao kuwa wahovyo!?

Hoja yangu ni nini,
Hoja yangu ni kuwa hata mwanaume nae anamakosa pia.
Kuwa mwanamke hakumaanishi kuwa ndio uwe unavuruga tu kila siku.
Naamini tunaweza kuwa na wanawake wakaongoza vizuri tu.

Ila naomba nitambuliwe kuwa Sikatai kuwa mwanamke ni dhaifu kuliko mwanaume
Ni wazi nikikupa homework uniletee hapa mkataba uliosainiwa chini ya rais mwanaume unaokosa kifungu cha kuvunjika mmoja akienda wrong huwezi kuniletea.
Sawa tuassume ninaweza kukosa kwa hapa Tanzania.
Je unadhani hata nje ya Tanzania hakuna mkataba kama huu uliowahi kusainiwa na Rais mwanaume!?
 
Back
Top Bottom