Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

Kwanini Uislamu hauhitaji kiongozi mwanamke?

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU LA UFUNUO 9.
Umeshiba unaanza kukufukuru
 
Huyo ni aina ya watu walioshindwa kujicontrol wale wazinifu ,walevi so ukimueleza dini anaona kama hatowezi kufuata.

Ubaya ,bado ana akili za kitoto akikua atatulia na ataelewa.
Acha ujinga yaan mnataka kuwaaminisha watu dini ndio kila kitu?

Dini tangu zije afrika hazina hata miaka 2000 lkn maajabu ni kuwa Afrika ime Exist for more than 1000, 000 years or even billions of years with no Stupidity thing so called religious,

Je huyo Mungu wenu alikuwa wapi miaka yote hiyo aje kuletwa na wazungu+waarabu miaka ya hivi karibun tena kwa utumwa na mauwaji alafu wajinga wachache kama ninyi mjaribu kushawishi kwamba dini ina maana ktk jamii?

Kuoa wake wengi kuna shida gani kama mtu anaweza kuwahandle wote? Lipi bora kuoa wake3 ama ushoga mnaouhalalisha ktk makao ya dini zenu ama kwa hao viongoz wenu wa dini wanaolawiti watoto wadogo huko madrasa na Sunday-school?

Mnataka kutuamnisha kuwa mila na desturi ni mbaya kumbe hayo maujinga yenu mliyocopy kwa watu weupe ndio yanaongoza kwa maovu,

Ugaidi upo ktk dini zenu, upolaji wa mali za watu kwa kuita sadaka upo ktk dini zenu, ubakaji, uchawi, ushirikina, uongo, ulawiti na ushoga upo ktk dini zenu mbona sisi tusio na dini hatuwasimangi kama ninyi mnavyotuingilia mambo yetu?

Jaribuni kuelimika jamani Elimu ni muhimu zaidi ya hizo ngonjera za dini zenu za uongo.
 
Acha ujinga yaan mnataka kuwaaminisha watu dini ndio kila kitu?

Dini tangu zije afrika hazina hata miaka 2000 lkn maajabu ni kuwa Afrika ime Exist for more than 1000, 000 years or even billions of years with no Stupidity thing so called religious,

Je huyo Mungu wenu alikuwa wapi miaka yote hiyo aje kuletwa na wazungu+waarabu miaka ya hivi karibun tena kwa utumwa na mauwaji alafu wajinga wachache kama ninyi mjaribu kushawishi kwamba dini ina maana ktk jamii?

Kuoa wake wengi kuna shida gani kama mtu anaweza kuwahandle wote? Lipi bora kuoa wake3 ama ushoga mnaouhalalisha ktk makao ya dini zenu ama kwa hao viongoz wenu wa dini wanaolawiti watoto wadogo huko madrasa na Sunday-school?

Mnataka kutuamnisha kuwa mila na desturi ni mbaya kumbe hayo maujinga yenu mliyocopy kwa watu weupe ndio yanaongoza kwa maovu,

Ugaidi upo ktk dini zenu, upolaji wa mali za watu kwa kuita sadaka upo ktk dini zenu, ubakaji, uchawi, ushirikina, uongo, ulawiti na ushoga upo ktk dini zenu mbona sisi tusio na dini hatuwasimangi kama ninyi mnavyotuingilia mambo yetu?

Jaribuni kuelimika jamani Elimu ni muhimu zaidi ya hizo ngonjera za dini zenu za uongo.
Yes indeed
 
Kabila langu halina chifu wa kike wala kiongozi wa kike ndo kwanza watu wanarithi majina ya wanaume zao .

Hata afrika mila zetu hakuna kitu kama hicho ... Kutokana na maumbile kuna sifa common za mwanaume na mwanamke .

Tunafanya kazi na wanawake tunaona imagine anaenda maternity leave ofisi inabaki empty bado kuna kuleta watoto hata pawe na mfanyakaz ila mtoto akizingua lazima arudi.

Kuna mambo kibao ambayo anakuwa na udhuru wa kisheria kutokana na maumbile yake Mfano akiwa period na ndo imam nan ataswalisha.
Kwahiyo wasukuma wametukosea sana kutupa watanganyika chifu mkuu mwanamke?
 
Hayo mambo ni zilipendwa, kila mtu apige kazi si mwanamke wala mwanaume.
 
Haijawahi kutokea na haitatokea mwanaume kuwa sawa na mwanamke katika eneo lolote

Najua feminist watapinga
 
Kwan ukristo unasemaje kuhusu kiongozi wa kike?
 
Back
Top Bottom