Kwanini Ubaguzi wa kidini Umezidi Tanzania?

Haki

JF-Expert Member
Jan 14, 2009
356
17
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.
 
Tanzania ni rafiki wa karibu sana wa Algeria. Hujasikia mtu akilalamikia hilo. Tuko karibu na Misri vile vile, na hakuna malalamiko.

Hatuna matatizo kuwa karibu na nchi za Kiislamu. Tuna tatizo na nchi zinazokandamiza raia wake kwa kuweka sheria ya kuua wale wanaoamua kubadili dini toka Uislamu kuingia Ukristo. Iran na Saud Arabia zina sheria kama hizo.

Ingetokea nchi ya Kikristu ikaweka sheria ya kuua raia wanaobadili Ukristu na kuingia Uislamu, tungeikataa vile vile. We are men and women of principle.
 
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.

TATIZO HATA WEWE UMEONYESHA UBAGUZI DHIDI ya dini mojawapo..!
 

Waislam! Kaaaazi kweli kweli, OIC wao, IRAN wao, GAZA wao, HAMAS wao, KADHI wao, DINI wao, RAIS dini yao, MAKAMU WAKE dini yao, CUF yakwao, PEMBA yakwao, UNGUJA yakwao, KUANDAMANA wao, KULALAMIKA wao. WHAT DO THESE PEOPLE WANTS? KUNYONYA DAMU YA WAKRISTO? WHAT IS IT IN ISLAM?

Kama kuna watu mabingwa wa kulalamika nakugoma, basi hawa Muhammadans ni nambari wani.
 

Waislam! Kaaaazi kweli kweli, OIC wao, IRAN wao, GAZA wao, HAMAS wao, KADHI wao, DINI wao, RAIS dini yao, MAKAMU WAKE dini yao, CUF yakwao, PEMBA yakwao, UNGUJA yakwao, KUANDAMANA wao, KULALAMIKA wao. WHAT DO THESE PEOPLE WANTS? KUNYONYA DAMU YA WAKRISTO? WHAT IS IT IN ISLAM?

Kama kuna watu mabingwa wa kulalamika nakugoma, basi hawa Muhammadans ni nambari wani.

Mtumishi Max,

Kuna kitu kinawasumbua hawa ndg zetu, si bure. We subiri tu hapahapa kwenye hii thread 'mjinga' ujionee VIOJA..

Be blessed..
 
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.[/QUOT

Tanzania ni rafiki wa karibu sana wa Algeria. Hujasikia mtu akilalamikia hilo. Tuko karibu na Misri vile vile, na hakuna malalamiko.

Hatuna matatizo kuwa karibu na nchi za Kiislamu. Tuna tatizo na nchi zinazokandamiza raia wake kwa kuweka sheria ya kuua wale wanaoamua kubadili dini toka Uislamu kuingia Ukristo. Iran na Saud Arabia zina sheria kama hizo.

Ingetokea nchi ya Kikristu ikaweka sheria ya kuua raia wanaobadili Ukristu na kuingia Uislamu, tungeikataa vile vile. We are men and women of principle.

Nadhani jibu la Augustine Moshi linakutosha vinginevyo una agenda ya siri na hizo nchi ulizozitaja. HAlafu ni vema ujiulize kuhusu hizo nchi ulizozitaja; kwa nini hizo na si Misri na Algeria. Hujui malengo ya Irankwa Tanzania? KAma hujui tafiti; hujui msimamo wa Iran kwa baadhi ya nchi rafiki? Msikize Rais Ahmednajad utajua.
 
Tanzania ni rafiki wa karibu sana wa Algeria. Hujasikia mtu akilalamikia hilo. Tuko karibu na Misri vile vile, na hakuna malalamiko.

Hatuna matatizo kuwa karibu na nchi za Kiislamu. Tuna tatizo na nchi zinazokandamiza raia wake kwa kuweka sheria ya kuua wale wanaoamua kubadili dini toka Uislamu kuingia Ukristo. Iran na Saud Arabia zina sheria kama hizo.

Ingetokea nchi ya Kikristu ikaweka sheria ya kuua raia wanaobadili Ukristu na kuingia Uislamu, tungeikataa vile vile. We are men and women of principle.



Kama Saudia wanasheria kama hizo kwanini America wanaushirikiano nayo mzuri ? nadhani tatizo ni udini

Russia, China kote huko hakuna freedom ya ku-worship nabado hatujali kua na uhusiano nao, mwandishi wasiwasi wake nipale linapotokea jina islam
 
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.

Tanzania hakuna udini tatizo nyinyi waislam mmezidi kulialia kila siku na kuona mnaonewa wakati matatizo ni yenu wenyewe wala hayasababishwi na mkristo au mpagani.Leo hii Rais ni wa dini yenu,Makamo wake ni wenu pia na wakati wanaingia madarakani wizara nyeti zote mlizishika nyinyi kitu ambacho hakijawahi kutokea tangia nchi ipate uhuru lakini bado mkawa wa kulia tu.Sasa ushauri wa bure tu muache madrasa muende shule na nyinyi mkasome ili muwe sawa na wagalatia kama mnavyowaita.sawasawa?
 
Back
Top Bottom