Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.