MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,030
Wasalaam wana JF
Mwanadamu amepewa akili ili imsaidie kuhoji na kuboresha maisha yake. Ikiwa kama utaruhusu akili yako ifanye kazi, bila kutingwa na influeence nyingine, kama mapokeo, mazoea na sheria basi ni vyema tuhoji kwanini tuwahudumie wanawake?
Kwa kuanza tafakarii hii lazima tujue sisi, binadanu ni wanyama, je wanyama wenzetu wanafanyaje (hapa tuna benchmark). Simba ambao wako on top of the food chain wanaweza wakawa ni mfano mzuri. Kimsingi, hawafanyi hivyo.
Sasa sisi binabamu huu upuuzi, tumeutoa wapi?
Pengine tumeshindwa ku-control ashki zetu.
labda ni issue ya demand and supply.
labda ni issue ya competition.
Labda ni issue ya kuwa possessive.
Kimsingi, jambo hili haliingi aklini, inakuaje mtu mzima akae tu, asifanye kazi alafu mtu mwingine afanye kazi na amuhudumie. Akili ya kawaida inakataa. Kuna vitu vingi sana katika struggles za mwanadamu vimewekwa kipuuzi kuchochea uzembe na uvivu. Tafakari, chukua hatua.
Mwanadamu amepewa akili ili imsaidie kuhoji na kuboresha maisha yake. Ikiwa kama utaruhusu akili yako ifanye kazi, bila kutingwa na influeence nyingine, kama mapokeo, mazoea na sheria basi ni vyema tuhoji kwanini tuwahudumie wanawake?
Kwa kuanza tafakarii hii lazima tujue sisi, binadanu ni wanyama, je wanyama wenzetu wanafanyaje (hapa tuna benchmark). Simba ambao wako on top of the food chain wanaweza wakawa ni mfano mzuri. Kimsingi, hawafanyi hivyo.
Sasa sisi binabamu huu upuuzi, tumeutoa wapi?
Pengine tumeshindwa ku-control ashki zetu.
labda ni issue ya demand and supply.
labda ni issue ya competition.
Labda ni issue ya kuwa possessive.
Kimsingi, jambo hili haliingi aklini, inakuaje mtu mzima akae tu, asifanye kazi alafu mtu mwingine afanye kazi na amuhudumie. Akili ya kawaida inakataa. Kuna vitu vingi sana katika struggles za mwanadamu vimewekwa kipuuzi kuchochea uzembe na uvivu. Tafakari, chukua hatua.

