Kwanini tuwahudumie wanawake?

Kwanini tuwahudumie wanawake?

Ila wewe kumzalisha unaona ni haki yako.
Hvi mtu anaekupikia kukuzalia na kujulelea watotot ndo unaona shida kumuhudumia.
Hiyo ni haki yake.

Nyinyi ndo vijana manafanya wanawake Feminists waendelee kuongezekana maana na wao wanadai wanaume na wao wanapaswa kubeba mimba ili haki iwe sana.

Je utaweza?
Achane hizo Neno Mwanaume inamaana kubwa
Unamuongelea mke au mwanamke, maana huyo mwanamke ambaye hujamuoa upo naye kimahusiano akupikie we kama nani. Na akibeba mimba ni kwakutegesha ili aolewe sio kwakusudi la msingi. Anahudumiwa mke sio mwanamke tu. Mwanaume huwezi mzalisha binti bila ridhaa yake na mabinti mambo ya kufua na kupikia walishayakataa. Hivyo tusifanyane watumwa kwa mwanamke, wewe kama hudumia hudumia acha nijenge maisha yangu maana sijamuoa. Na wanapewaga ramani kuwa mimi sitaki mtoto kwamuda huu ila watajibebesha kwa makusudi, hivyo hivyo wale tamaa zao.
 
Sizani kama kuna mwenye akili atakubaliana na wewe.

Na hata sijuwi uko Dunia ya ngapi, maisha ya sasa ni wewe mwenyewe kuamua.

Kama unaona tabu kuhudumua basi tafuta mwanamke wa 50/50.

Mnapeana zamu za kupika. kulea, kufua nguo.

Na saivi wanawake nao wanapiginuabhaki yao, wanaume nao wanapaswa kubeba mimba ili kusaidiana majukumu, cos haiwezekani Umpe binti wa watu mimba aweke maisha yake hatari alafu unaona tabu kutoa matumizi.

Yaan unataka umpe mtoto wa watu mimba, akulele watoto, apike alafu unaona tabu kumuhudumia.

Kama unaona tabu basi tafuta wanawake wamefeminist ni wengi, kila kitu pasu, bado tu mwanaume kubeba mimba, maana na wao ndo wanachokitaka.
Una ufara mwingi, mwanaume abebe mimba anza wewe kubeba
 
Unamuongelea mke au mwanamke, maana huyo mwanamke ambaye hujamuoa upo naye kimahusiano akupikie we kama nani. Na akibeba mimba ni kwakutegesha ili aolewe sio kwakusudi la msingi. Anahudumiwa mke sio mwanamke tu. Mwanaume huwezi mzalisha binti bila ridhaa yake na mabinti mambo ya kufua na kupikia walishayakataa. Hivyo tusifanyane watumwa kwa mwanamke, wewe kama hudumia hudumia acha nijenge maisha yangu maana sijamuoa. Na wanapewaga ramani kuwa mimi sitaki mtoto kwamuda huu ila watajibebesha kwa makusudi, hivyo hivyo wale tamaa zao.

Hapo sio sababu ya mada hii kuwepo cos sizan kama kuna mtu analazimishwa kumuhudumia mpenzi wake.
 
Sizani kama kuna mwenye akili atakubaliana na wewe.

Na hata sijuwi uko Dunia ya ngapi, maisha ya sasa ni wewe mwenyewe kuamua.

Kama unaona tabu kuhudumua basi tafuta mwanamke wa 50/50.

Mnapeana zamu za kupika. kulea, kufua nguo.

Na saivi wanawake nao wanapiginuabhaki yao, wanaume nao wanapaswa kubeba mimba ili kusaidiana majukumu, cos haiwezekani Umpe binti wa watu mimba aweke maisha yake hatari alafu unaona tabu kutoa matumizi.

Yaan unataka umpe mtoto wa watu mimba, akulele watoto, apike alafu unaona tabu kumuhudumia.

Kama unaona tabu basi tafuta wanawake wamefeminist ni wengi, kila kitu pasu, bado tu mwanaume kubeba mimba, maana na wao ndo wanachokitaka.
Na siku ukishindwa kumuhudumia kwa maana ya kukwama kwa ugonjwa, kufukuzwa kazi kufirisika ama kwa namna yoyote akamua kuondoka ili atafute mtu mwingine wa kuhudumia utamuita kila aina ya majina mabaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom