karim wade
Member
- Apr 2, 2012
- 49
- 10
Ndugu wanaJF! Napata wakati mgumu sana kuelewa, kama walio wengi lengo letu ni kubadilisha mfumo uliopo sasa ambao kwa wengi wetu tunaamini umefail to deliver the promise for the past 50 years. Kwa nini CDM, CUF na vyama vingine visiunganishe nguvu na kuondoa mfumo uliopo sasa.
Navyoona CCM wana take advantages ya utitiri wa vyama vingi visivyokuwa na mashiko and then its easier to defeat them when comes to election. Rai yangu lets have dialogue on this kama kweli lengo letu sote ni kuleta madiliko ya kweli kwa mtanzania ili aweze kuishi kwa TANZANIA YA NDOTO YAKE!
Navyoona CCM wana take advantages ya utitiri wa vyama vingi visivyokuwa na mashiko and then its easier to defeat them when comes to election. Rai yangu lets have dialogue on this kama kweli lengo letu sote ni kuleta madiliko ya kweli kwa mtanzania ili aweze kuishi kwa TANZANIA YA NDOTO YAKE!