Kwanini tusiunganishe nguvu kama lengo ni moja!

karim wade

Member
Apr 2, 2012
49
10
Ndugu wanaJF! Napata wakati mgumu sana kuelewa, kama walio wengi lengo letu ni kubadilisha mfumo uliopo sasa ambao kwa wengi wetu tunaamini umefail to deliver the promise for the past 50 years. Kwa nini CDM, CUF na vyama vingine visiunganishe nguvu na kuondoa mfumo uliopo sasa.

Navyoona CCM wana take advantages ya utitiri wa vyama vingi visivyokuwa na mashiko and then its easier to defeat them when comes to election. Rai yangu lets have dialogue on this kama kweli lengo letu sote ni kuleta madiliko ya kweli kwa mtanzania ili aweze kuishi kwa TANZANIA YA NDOTO YAKE!
 
Lengo ni moja mkuu Karim Wade, ila sera/itikadi za vyama zinatofautiana..unakumbuka mwaka 2002 NARC ya kule Kenya ilivyokuwa? walijitahidi kuficha ubaya, uovu na tofauti zao angalau "kwa muda" na kuiondosha KANU, sasa hivi, ni historia..maslahi ya Taifa kwanza.

So, nadhani itawezekana ila shida inakuja kwetu wananchi watu wanawaza nani awe Rais, Makamu, W/Mkuu, Mawaziri n.k kwa hisia fulani tu kuwa Chama fulani kina washabiki/wafuasi/wanachama wengi!!!

Kama, tukificha tofauti zetu tukasimama pamoja, haijalishi nani atakuwa nani, vinginevyo wote watabaki kugombania nafasi ile ambako Hayati Mwl JK Nyerere alisema, "Ikulu si mahali pa kukimbilia"..na hakuna atakayeweza kupafikia, Not in this life time.

BTW, i liked the Thread title mkuu.
 
vyama vingi ni vya mamruki,kama kina mbatia na cheyo na wenzao,
wapinzani waliokuwa wa ukweli walikuwa CUF amabap walifunga ndoa na ccm 2010.
kwa hiyo kuunganisha hivi vyama ni bomu na hatutafanikiwa.
only with CDM TUTAIKOMBOA NCHI HII MIKONON MWA WANYANG'ANYI
 
tatizo hapa ni udini tu, hiyo inaitwa live bila chenga. CUF%+CHADEMA%=Perfect (100%). watu hawajajua tu hilo. ni rahisi kwa huku bara NCCR-manunuzi kuingia madarakani kuliko chadema au CUF as an individual. conclusion, acha Magamba waendelee kupeta mpaka tutakapojua jibu nililotaja hapo juu.
 
mada ni nzuri, ingependeza na kwa vyovyote nguvu ingeimarikwa kweli kweli kung'oa chama tawala, tatzo mwana jf mwanzangu kila mtu anataka awe rais, hapo ndo pagumu
 
tatizo hapa ni udini tu, hiyo inaitwa live bila chenga. CUF%+CHADEMA%=Perfect (100%). watu hawajajua tu hilo. ni rahisi kwa huku bara NCCR-manunuzi kuingia madarakani kuliko chadema au CUF as an individual. conclusion, acha Magamba waendelee kupeta mpaka tutakapojua jibu nililotaja hapo juu.

uko right sana
cuf-majority ni waislam
cdm-majority ni wagalatia
mchezo ndio uko hapo.otherwise ingewezekana na wangefanikiwa.
 
Kwani jf ni mali ya upinzani????? Kwani upinzani ni kupinga bila hoja????? Hivi aliyepo ameshindwa nini, na ajaye ataleta nini??? Naamini, mabadiliko yangewezekana kama 2015, tungekuwa na katiba mpya, yenye kuwa na ufumbuzi wa tume ya uchaguzi. Kama hilo lingewezekana, naamini 2015 tungepata utawala mpya, tukaona lipi jipya ambalo lingewaletea watanganyika maisha tofauti na haya.
Kwa bahati mbaya, 2014 katiba mpya itapigiwa kura, na wengi wataikataa, na hivyo tutaingia kwenye uchaguzi wa 2015 na katiba ile ile ya siku zote, na tume ya uchaguzi ile ile, watakao penda kuandamana kupinga, tutawapa hati miliki ya maandamano, ili waandamane hadi jangwani.
 
uko right sana
cuf-majority ni waislam
cdm-majority ni wagalatia
mchezo ndio uko hapo.otherwise ingewezekana na wangefanikiwa.

Huwa napata shida sana na hoja hizi za kidini kuzielewa, hivi waislam wengi wapo CUF kwasababu ya sera za CUF zimekaa Kiisalam zaidi au kwasababu viongozi wake wengi ni Waislam? Mwenye jibu la hili tafadhari, before 2000, CUF ilikuwa ndio Mbadala wa NCCR manunuzi, hata Wakristo wengi pia walikuwa wagombea kwenye chama hiki, huwa sielewi nini kilichomtokea Rwakatale kwenye ule mkutano mkuu pale Morogoro na pia napata hofu sana na hatima ya Julius Mtatiro kama Waislam wengi waamini kuwa hiki ni chama chao.
 
vyama vingi ni vya mamruki,kama kina mbatia na cheyo na wenzao,
wapinzani waliokuwa wa ukweli walikuwa CUF amabap walifunga ndoa na ccm 2010.
kwa hiyo kuunganisha hivi vyama ni bomu na hatutafanikiwa.
only with CDM TUTAIKOMBOA NCHI HII MIKONON MA WANYANG'ANYI
Cdm hawa waendesha madisco na kuiba wake za watu???au chadema ipi!
 
tatizo hapa ni udini tu, hiyo inaitwa live bila chenga. CUF%+CHADEMA%=Perfect (100%). watu hawajajua tu hilo. ni rahisi kwa huku bara NCCR-manunuzi kuingia madarakani kuliko chadema au CUF as an individual. conclusion, acha Magamba waendelee kupeta mpaka tutakapojua jibu nililotaja hapo juu.

WanaJF: Lets be analytical in our thinking, huu unaosemwa UDINI ni mtaji tu wa wanasiasa lakini ukiangalia kwa sisi wananchi wa kawaida religion has not divided us as politician they are trying to publicise it. Nakumbuka 2010 wakati mkuu analiitubia bunge aliongelea nyufa ya UDINI after 2010 election, but sincerely sijui huo udini kwetu sisi wananchi wa kawaida upo wapi wanaouongelea.

Tatizo ni palepale its just a game ya kututoa kwenye hoja ya msingi ya ile Tanzanian dream tunayoitaka sisi ambayo for 50 years has not been accomplished. Lets discuss as Tanzanian kwamba tunaitaji direction mpya no matter who your. Ili watoto wetu na wajukuu wetu watukumbuke kwa maamuzi magumu ambayo this generation naamini tunaweza kuyafanya "LETS JOIN THE FORCE AND TOGETHER WE CAN"
 
WanaJF: Lets be analytical in our thinking, huu unaosemwa UDINI ni mtaji tu wa wanasiasa lakini ukiangalia kwa sisi wananchi wa kawaida religion has not divided us as politician they are trying to publicise it. Nakumbuka 2010 wakati mkuu analiitubia bunge aliongelea nyufa ya UDINI after 2010 election, but sincerely sijui huo udini kwetu sisi wananchi wa kawaida upo wapi wanaouongelea.

Tatizo ni palepale its just a game ya kututoa kwenye hoja ya msingi ya ile Tanzanian dream tunayoitaka sisi ambayo for 50 years has not been accomplished. Lets discuss as Tanzanian kwamba tunaitaji direction mpya no matter who your. Ili watoto wetu na wajukuu wetu watukumbuke kwa maamuzi magumu ambayo this generation naamini tunaweza kuyafanya "LETS JOIN THE FORCE AND TOGETHER WE CAN"

Hata mimi leo nikawa najisemea hizi mada za udini zinaletwa humu kutuparaganyisha tu. In actual fact hatuna uhasama wa udini
 
Mimi ninavyojiuliza hapa. Ikitokea wakaungana nani atakuwa rais? Bungeni tu! kwenye kambi ya upinzani hawaelewani je wakiungana itakuwaje?
Nani atakuwa raisi kati ya hawa?
1. Mbowe
2. Lipumba
3. Mrema
Hawa jamaa wako na uchu wa madaraka
Liniwahi kumsikia Lipumba akisema yeye hataki nyazifa ndogo ndogo
Hebu tufikirie.
 
Katiba mpya huenda ikaja na utaratibu mpya wa kumpata mshindi kwenye uchaguzi ujao 2015. Kwa mfano, vyama vinaweza kushindana na ikibidi kuungana katika uchaguzi ili kupata kura za kutosha baada ya kushindikana kwenye raundi ya kwanza - kama ilivyotokea Uingereza ktk uchaguzi uliopita.

CCM ingependa kukiona CUF kinaimarika kwani siku ya siku ikibidi kuunganisha nguvu wao ni wenzao. Kwa mantiki hii, sijui CDM kikitakiwa kuunganisha nguvu na chama kingine itakuwaje.....maana wao kwa sasa wamevimba vichwa na kujiona kuwa wameshafika Magogoni.

Ukweli unabaki kuwa, pamoja na M4C, Operesheni Sangara, Bla-blaa,...... si rahisi CDM kuwashinda CCM + CUF.
 
hivi jamani mwana jf nashindwa kuweka kikatuni changu kwenye avatar napenda sana vinavyo apear mwenye ujuzi jamani anielimishe
 
Sikubaliani na mleta hoja kwamba vyama viungane kwa sababu lengo ni kuiondoa CCM. Kuwa upinzani siyo sababu ya kuamini kwamba wapinzani wako wote mna malengo sawa! Rudi shule ujisomee zaidi mambo sirahisi hivyo,achana na propaganda za kizamani za CCM.
 
cdm hawa waendesha madisco na kuiba wake za watu???au chadema ipi!
kwani wewe unajua cdm ip????na wewe iba hao wake za watu tukuone.cdm ni chama cha watanzania wote,sasa hao wapiga madisco ulitegemea wakaibe ili wajipatie kipato,kanawe uto tope machoni.
 
Chadema hawawezi kubali cz wana agenda ya kuendeleza mfumo kristo ulioasisiwa na baba yao wa taifa!!
 
Back
Top Bottom