Kopera Mwigamba
Member
- Dec 26, 2013
- 7
- 2
Wanajamii, swali hilo nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara; kwamba mtu amesoma tena kafika gazi za juu kabisa mf. (Diploma, Digree Masters) etc.
Bado ametumia mda mwingi kuitafuta taaluma aliyonayo, amtumia mtaji mkubwa kabisa; mtaji ambao huenda uliathiri sehemu kubwa katika familia yake.
Lakini jambo la kushangaza kabisa kwa mtu huyu mwenye ujuzi unaohitajika, eti anapanga foleni kuomba kazi; what does it mean!?
Mi nafikiri tunasoma ili tupate mbinu za kukabiliana na maisha kwa kujiajiri wenyewe, na si kusoma ili tuwe watumwa/vibaraka wa washenzi fulani.
Bado ametumia mda mwingi kuitafuta taaluma aliyonayo, amtumia mtaji mkubwa kabisa; mtaji ambao huenda uliathiri sehemu kubwa katika familia yake.
Lakini jambo la kushangaza kabisa kwa mtu huyu mwenye ujuzi unaohitajika, eti anapanga foleni kuomba kazi; what does it mean!?
Mi nafikiri tunasoma ili tupate mbinu za kukabiliana na maisha kwa kujiajiri wenyewe, na si kusoma ili tuwe watumwa/vibaraka wa washenzi fulani.