Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,023
- 43,167
Vizuri sasa wewe ungeweka huo ukweli kwa faida ya JF watu wafaidike.Uongo!!!
Vizuri sasa wewe ungeweka huo ukweli kwa faida ya JF watu wafaidike.Uongo!!!
swali zuri mkuu.Hivi maana ya Amiri Jeshi ni nini? Hasa neno Amiri lina maana gani?
Kama hiyo ni mojawapo ya sababu basi imepitwa na wakati. Giza? Dunia ya leo tunaongelea giza?Moja ya sababu ni giza. Bendera ni ishara na alama ya uwepo wa ofisi na watendaji wa serikali. Shariti ionekane kwa mbali na bila kizuizi chochote. Hivyo basi kanuni za kupandisha bendera zinaeleza wazi kuwa lazima ipandishwe wakati wa mwanga ili iweze kuonekana vizuri.
Usiku ni muda wa wachawi, hata Serikali inajua.... Ni mgawanyo wa majukumu!
Kama hiyo ni mojawapo ya sababu basi imepitwa na wakati. Giza? Dunia ya leo tunaongelea giza?
Pili, bendera ni utambulisho rasmi wa taifa; na taifa muda wote iwe mchana iwe usiku lipo. Ofisi ya serikali iwe mchana iwe usiku ipo kinachokosekana kwa baadhi ya nyakati (usiku!) ni uwepo wa watendaji. Kwa hiyo bendera haipaswi kutambulisha uwepo wa watendaji bali uwepo wa ofisi na taifa kwa ujumla. Yapaswa kupepea muda wote labda mara moja moja ikafuliwe.
Waandamizi hao. Mamlaka ya Uchawini ina wadau wengi, hao nao wakiwemo..Bila kuwasahau popo,bundi,fisi nk
Amir ni neno lenye asili ya Asia Ndogo likiwakilisha jinsi ya kiume na lenye maana zifuatazo:-Hivi maana ya Amiri Jeshi ni nini? Hasa neno Amiri lina maana gani?
Asante Mkuu kwa ufafanuzi murua! Mfano mzuri ni mahospitali yakiwemo ya Serikali, bendera zimeshushwa usiku lakini watu wanapiga kazi. Hilo la bendera ya Jeshi kupandishwa jioni na kushushwa asubuhi naungana na wewe; kama ilivyo ya taifa kupandishwa asubuhi na kushushwa jioni, sina hakika kama inaeleweka ni kwanini inakuwa hivyo na kwa wakati ule. Imekaa kimazoea zaidi.Anazungumzia giza? mbona kuna taasisi zinafanya kazi nyakati za usiku? na wakati huohuo bendera ya Taifa imeshashushwa.
Lakini mie naona kama nchi yetu historia haijakaa sawa, make ata wale wanajeshi wanaopandishisha bandera yao jioni na kuishusha asubuhi hawajui ni kwanini.
Is it semantical to use historical instead of history?how old are you and who was your historical teacher?
swissme
Ebu mkuu toa hoja ya maana tupate knowledge,Humu ndani siajona alie toa hoja ya maana zaidi ya porojo zile za vijiwe vya kahawa
Ninavyojua ni kwamba "amir" ni neno la kiarabu lenye maana ya kiongozi. Hivyo kwenye Kiswahili tumetohoa hilo neno na kuwa Amiri Jeshi Mkuu kwa maana hiyo ni Kiongozi Mkuu wa MajeshiHivi maana ya Amiri Jeshi ni nini? Hasa neno Amiri lina maana gani?
Moja ya sababu ni giza. Bendera ni ishara na alama ya uwepo wa ofisi na watendaji wa serikali. Shariti ionekane kwa mbali na bila kizuizi chochote. Hivyo basi kanuni za kupandisha bendera zinaeleza wazi kuwa lazima ipandishwe wakati wa mwanga ili iweze kuonekana vizuri.
Ndio kawaida ya watu wa MusomaUmemaliza hoja yako kibabe
Hebu leta hoja hizo za kisomi wengine tuelimike.Humu ndani siajona alie toa hoja ya maana zaidi ya porojo zile za vijiwe vya kahawa
your question is illogical and some sort of non sense, the threader has a well reasoned question, why you are asking for his age does not make sense, and i don't see the relationship between the history of our country and the raising/lowering of the national flag, besides the subject (History) is no where teaching about raising/lowering of the flag, if you were to ask, you probably asked "who was your civics teacher?"how old are you and who was your historical teacher?
swissme
WHY "ARE YOU"........your question is illogical and some sort of non sense, the threader has a well reasoned question, why your are asking for his age does not make sense, and i dont see the relationship between the history of our country and the raising/lowering of the national flag, besides the subject (History) is no where teaching about raising/lowering of the flag, if you were to ask, you probably asked "who was your civics teacher?"