Kwanini tunapeleka wanajeshi wetu badala ya Mwenge?

Kwanini tunapeleka wanajeshi wetu badala ya Mwenge?

Sitaki kuamini kuwa Yale mabilioni tunayachoma bureee tu
Mkuu zile ni Ibada za watu acha kabisaaaa ...watu wanamuabudu shetani bila kujijua kwaajili ya manufaa ya wengine ...tuko brain washed
 
Kukimbiza Mwenge ni Mradi kama miradi mingine ya chama chetu kujipatia kipato.ile budget inaingia kwenye mfuko wetu huwezi kuona manufaa yake kama hauko nasi.
vijana wa Lumumba wenzio wataku mind aiseee umetoa siri ya kambi
 
Back
Top Bottom