Kwanini tunapeleka wanajeshi wetu badala ya Mwenge?

Kwanini tunapeleka wanajeshi wetu badala ya Mwenge?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,157
Reaction score
166,102
Panapo tokea machafuko nchi mbalimbali Duniani, Tanzania imekuwa mstari wa mbele kupeleka wanajeshi wake wakalinde Na kuboresha amani.
Mazingira hayo Siyo rafiki. Ni nusu Vita kama sio Vita kamili.
Kwenye mission mbalimbali tumepoteza askari wetu ambao ni tegemeo kwa Taifa Na familia zao.
Tunao Mwenge wa Uhuru. Na Tunaambiwa amani Na utulivu vilivyopo nchini ni matokeo ya kuukimbiza mwenge nchi nzima.
Kwanini tusiukimbize mwenge kwenye nchi zenye machafuko kama Sudan Kusini, Congo etc ili wawe Na amani Na hivyo kuwaokoa askari wetu Na hata wenyeji wa hizo nchi?
Maoni Na majibu yenu ni muhimu.
swissme, BAK, mshana jr, Pascal Mayalla, Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, GuDume, CCM, CHADEMA
 
Wanajeshi kwenda kulinda amani ni miradi ya mataifa makubwa na lengo huwa sio kumaliza machafuko nafikiri mkuu una uelewa mdogo juu ya maigizo ya wanasiasa. Vilevile kwenda kulinda amani ni dili kubwa sana kwa wanajeshi na vikosi vingine,kupata chansi ni mpaka uonge,au kuna mkubwa anakujua hivyo akushike mkono,ukijua maslahi wanayoyapata hata na wewe ungetamani sana kwenda kule. In short kule hawaendi kupigana kama unavyofikiria.
 
Wanajeshi kwenda kulinda amani ni miradi ya mataifa makubwa na lengo huwa sio kumaliza machafuko nafikiri mkuu una uelewa mdogo juu ya maigizo ya wanasiasa. Vilevile kwenda kulinda amani ni dili kubwa sana kwa wanajeshi na vikosi vingine,kupata chansi ni mpaka uonge,au kuna mkubwa anakujua hivyo akushike mkono,ukijua maslahi wanayoyapata hata na wewe ungetamani sana kwenda kule. In short kule hawaendi kupigana kama unavyofikiria.
Wanaenda kuigiza kufa, eti ehh
 
Kukimbiza Mwenge ni Mradi kama miradi mingine ya chama chetu kujipatia kipato.ile budget inaingia kwenye mfuko wetu huwezi kuona manufaa yake kama hauko nasi.
 
Hivi ni lini tutaacha kuukimbiza mwenge? Mwenge ni utapeli Na ghiriba
 
Back
Top Bottom