Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,157
- 166,102
Panapo tokea machafuko nchi mbalimbali Duniani, Tanzania imekuwa mstari wa mbele kupeleka wanajeshi wake wakalinde Na kuboresha amani.
Mazingira hayo Siyo rafiki. Ni nusu Vita kama sio Vita kamili.
Kwenye mission mbalimbali tumepoteza askari wetu ambao ni tegemeo kwa Taifa Na familia zao.
Tunao Mwenge wa Uhuru. Na Tunaambiwa amani Na utulivu vilivyopo nchini ni matokeo ya kuukimbiza mwenge nchi nzima.
Kwanini tusiukimbize mwenge kwenye nchi zenye machafuko kama Sudan Kusini, Congo etc ili wawe Na amani Na hivyo kuwaokoa askari wetu Na hata wenyeji wa hizo nchi?
Maoni Na majibu yenu ni muhimu.
swissme, BAK, mshana jr, Pascal Mayalla, Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, GuDume, CCM, CHADEMA
Mazingira hayo Siyo rafiki. Ni nusu Vita kama sio Vita kamili.
Kwenye mission mbalimbali tumepoteza askari wetu ambao ni tegemeo kwa Taifa Na familia zao.
Tunao Mwenge wa Uhuru. Na Tunaambiwa amani Na utulivu vilivyopo nchini ni matokeo ya kuukimbiza mwenge nchi nzima.
Kwanini tusiukimbize mwenge kwenye nchi zenye machafuko kama Sudan Kusini, Congo etc ili wawe Na amani Na hivyo kuwaokoa askari wetu Na hata wenyeji wa hizo nchi?
Maoni Na majibu yenu ni muhimu.
swissme, BAK, mshana jr, Pascal Mayalla, Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, GuDume, CCM, CHADEMA