Kwanini tunachambia mikono?

ha ha haaaa nicheke niongeze uhai mie... ninune unahuuuu.... JF juuuuu
 
Anza na msasa wa chuma halafu malizia na maji ya limao yaliyochanganywa na chumvi na pilipili ili kuua vijidudu.
 
brother Yesu anakujaje hapa? kama umechoka kuchangia ni heri ukae kimya otherwise unachokitafuta they will grant your wish.

Na mimi ndo nashangaa Yesu kaingiaje hapa kwenye hii mada watu wengine bwana.........
 
Siku nyingine inavyoonekana utakuja na swali la 'style gani nzuri ya kukata gogo?
 
Maji ya moto ya kunawia hayauwi vijidudu, sabuni does. Kwa hiyo hata ukinawa na maji ya moto usipotumia sabuni ni bure.

unaogopa kula kinyesi chako mwenyewe na unanyonya nanihii? Tuondolee uchizi hapa!

Ngoja niulize schoolboy qstn
Hao wadudu si walikuwa tumboni, sasa wakirudi kuna shida ghani
 

Ndiyo maana wanajeshi walikupiga!

Huwa ni wastaarabu sana usipoleta ubishi................ sasa kama unahoji mkono kuchamba, utashindwaje kuhoji kwa nini sikio lisiwe njia ya mkojo.
 
sasa mweshimiwa ili uepuke hivyo vijidudu ishi bila kula inaoneshaka unazingatia sana afya yako vizuri,
 
Kama mkono umekushinda chambia mguu ama uchambishwe na wenzako...tumechoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…