Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Maamuzi yameishafanywa tume ya pili ya nn tena. Hawawezi kuja na majibu ya kumpinga mkuu kwenye maamuzi ambayo yameishafanyikaUliza maswla yote baada ya ripoti ya pili,,,usiwe na haraka subiri inayokuja then ndio tutajua mbivu na mbichi