Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane .

View attachment 2443725
Kwann wasipandishe ikafikia ya hao tpdc?? Roho yakishirikina hii
 
ila mishahara ya Tanzania inatakiwa kufanyiwa review watu wote mna degree moja mfano accounts ya halmashauli analipwa kidogo wa TRA au Bot au TCRA anampita mara kumi hii sio sawa wakati nature ya kazi ni moja
Mishara kote duniani hailingani. Ndiyo maana professor wa UDSM analipwa tofauti na wa SAUT. Hata madaktari wa fani moji na ujuzi uleule hawalipwi mishara sawa. Pia wenye CPA hawalipi mishahara sawa. Mara nyingi mlipa mshahara ndiyo huamuwa, ila mara nyingi kunakuwa na minimum pay.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane .

View attachment 2443725
Kwa hiyo mtaani wangu Mataragio Anakula 50m kwa Mwezi. Its equivalent to BAE salary in UK. That's madness in poor country like Tz. If its true.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane .

View attachment 2443725
Nchi hii Ili ule Mshahara Mkubwa inategemea umeajiriwa wapi. Yaani uko taasisii Gani. Haiwezekani Mtumishi wa Tamisemi hata kama mlisoma course Moja na Chuo kimoja afanane Mshahara na wewe WA Authority au Government Agency.
 
Huo ndio uchawi wenyewe kwanini usiombe Serikali ikawapandishia mshahara wa kutosha hao walimu badala ya kushusha mshahara wa wafanyakazi wa TPDC? Haya wakishushiwa mshahara na walimu nao wakabaki kwenye kima cha mshahara wao utakuwa umewasaidia walimu? Tafakari
 
Mshahara wa mfsnyakazi wa BOT,TRA,hauwezi kuwa Sawa na mfsnyakazi wa halmashauri,
Ni bahati mbaya waalimu wanalipwa kiduchu,lakini Engineer anayesimqmia mifumo ya Teknohama,au umeme,au maji takq,mawasiliano,data centrers,huwezi kumlipa mshahara Sawa na Mwalimu wa sekondsr anayefundisha fizikia
Hicho ulicho andiks mwisho umekosea au tuseme umeteleza. Physics au Engineering science ni mama wa kitu chochote kile ulichotaja kuwa wana haki ya kupata mshahara mnono. Labda ugesema mwalimu wa Masomo ya lugha kama kiswahili, kiingereza nk. Hizo kada ulizotaja bila physics utaziona kituo cha polisi.
 
Wakati nipo pale Staff hasa wa Idara ya Explorations walikuwa wanabadilishia mabegi Airport,yaani mfanyakazi anatoka safari ya kikazi mfano Norway na Dubai,anatua na Emirates saa 9 mchana ana check out,Mkewe anakuwa nje pale kamletea Begi lingine la nguo anabadilisha,anachukua nguo hizo alizoletewa,ana-check in kisha anageuza na Emirates hiyohiyo saa 11 jioni kwenda Calgary Canada huko au kokote kwenye kazi nyingine za Shirika,ndio maana pale Wafanyakazi walikuwa wanachukua VISA za mwaka mzimamzima kuepusha usumbufu
Aisee sio mchezo duh
Mimi aliyekua Mwenyekiti wa bodi TPDC Jaji Makanja ninamuita kaka na kwake nilikua naenda sana wakati akiwa jaji na baada ya kustaafu. Ila nimekuja kujua kawa mwenyekiti too late. Angenisaidia hata kazi ya kuosha vyombo na kuwaandalia chai wakubwa hapo maana elimu sina.
Daah!
 
Mwanangu uzi wako naona wakuda washauchukua na kuuweka kwenye magoogle huko

mpwayungu village

Ova
Screenshot_20221215-150806_Chrome.jpg
 
Mkurugenzj wa TPDC miaka kadhaa iliyopita ilikuwa wanakunja hadi million 36 per month...yan kila mwezi kuna uwezekano wa kujenga nyumba kali ya standard
 
Back
Top Bottom