kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
TFF na Simba kuna uhusiano gani? Simba inaonyesha waziwazi kuwa inafanya ushirikina kwenye michezo lakini Bodi ya ligi na TFF wanajifanya hawaoni kitu; tena inazilazimisha timu nyingine zikutane na ushirikina wa Simba kwa kuzipa faini timu zinazojitahidi kukwepa kukutana na ushirikina wa Simba.
Hata CAF walishaiadhibu Simba kwa ushirikiana lakini TFF haikutoa adhabu yoyote.
Ona wazee wa Simba wanamshinikiza meneja wa uwanja akae pembeni ila Simba wafanye ushirikina wao uwanjani waifunge Al-Masry. Simba wamemwaga vitu visivyoeleweka uwanjani hadi Al masry ikawalazimu waogope kuingia uwanjani kupitia lango la kupia lakini Tff imekaa kimyaaa kama vile haipo.
TFF hii haina hadhi
Hata CAF walishaiadhibu Simba kwa ushirikiana lakini TFF haikutoa adhabu yoyote.
Ona wazee wa Simba wanamshinikiza meneja wa uwanja akae pembeni ila Simba wafanye ushirikina wao uwanjani waifunge Al-Masry. Simba wamemwaga vitu visivyoeleweka uwanjani hadi Al masry ikawalazimu waogope kuingia uwanjani kupitia lango la kupia lakini Tff imekaa kimyaaa kama vile haipo.
TFF hii haina hadhi