kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Nimepokea huu ujumbe kwa mtu anaejifanya mganga anajifanya eti kakosea number na mimi mambo hayo sio muumini wake kabisa.
Mtakuwa mnajuanaHawa wajinga wamerejea tena,mimi jana nimepokea hiiView attachment 2023902
AhahahhaaMaji hufuata mkondo
Huenda ni muumini wa waganga ila unajifanya siyo muumini
Hata hii post yako huenda umeileta humu ili watu wakuombe namba
Hili ni tangazo endelea utawanyaka tuu
too bad ni bulk SMS, inajeneret namba ya mpokeaji randomly inatuma,Sms kama hizo we ignore
Mwisho wa siku mtumaji
Anajiona fala
Ova
Hii msg kama anaiona mtu wa karibu anaweza sema nawachawia watu.Mtakuwa mnajuana