Kwanini TCRA wanawaachia hawa matapeli wanatumia majina ya watu vibaya?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Nimepokea huu ujumbe kwa mtu anaejifanya mganga anajifanya eti kakosea number na mimi mambo hayo sio muumini wake kabisa.

Screenshot_20211126-102819_Messages.jpg
 
Sms kama hizo we ignore
Mwisho wa siku mtumaji
Anajiona fala

Ova
too bad ni bulk SMS, inajeneret namba ya mpokeaji randomly inatuma,

na baadhi zinajereta hata namba ya mtumaji (sms spoofing), kiasi iyo namba haipo
 
Back
Top Bottom