Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 134
- 498
Habari za mchana na habari za jioni!
Kuna fundi nilimpa Hela anitengenezee kitanda cha mbao za kenfa nilizozipata kwa shida.
Yapata Sasa mwaka kitanda bado na Hela kala na mbao zangu Katengenezea kitanda kingine kauza 😡.
Nimeenda kumshitaki kajitetea atanitengenezea kitanda kingine, ila Katengeneza kitanda na mbao ambazo sio za kenfa.
Mi nimegoma kupokea hicho kitanda, tumeenda Tena mbele kwa mbele nikaambiwa nimpe gharama za mbao za kenfa na hela ya kitanda niliyompa anilipe.
Zile mbao za kenfa zilinigharimu 2.5ml kwasababu ya kibali chake kuwa ni cha shida yaani hawatoi kabisa.
Sasa huyu kapenta amegoma katakata na mtaani haonekani Tena.
Mimi ujumbe wangu ni huu jasho la mtu haliendi Bure Bure, utataga tu muda ukifika.
Tuweni makini na hawa matapeli jamani, mtu unachukua kazi nyingi kuzidi uwezo wako was kuzihudumia. 🤬
Kuna fundi nilimpa Hela anitengenezee kitanda cha mbao za kenfa nilizozipata kwa shida.
Yapata Sasa mwaka kitanda bado na Hela kala na mbao zangu Katengenezea kitanda kingine kauza 😡.
Nimeenda kumshitaki kajitetea atanitengenezea kitanda kingine, ila Katengeneza kitanda na mbao ambazo sio za kenfa.
Mi nimegoma kupokea hicho kitanda, tumeenda Tena mbele kwa mbele nikaambiwa nimpe gharama za mbao za kenfa na hela ya kitanda niliyompa anilipe.
Zile mbao za kenfa zilinigharimu 2.5ml kwasababu ya kibali chake kuwa ni cha shida yaani hawatoi kabisa.
Sasa huyu kapenta amegoma katakata na mtaani haonekani Tena.
Mimi ujumbe wangu ni huu jasho la mtu haliendi Bure Bure, utataga tu muda ukifika.
Tuweni makini na hawa matapeli jamani, mtu unachukua kazi nyingi kuzidi uwezo wako was kuzihudumia. 🤬