sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,431
Baada ya kuchoka kuangalia ma-Cadillac, na AK-47 na Movie ambazo hazina uhalisia na Bongo, na kuwakumbuka watunzi mashuhuri kama Agoro Anduru (Temptations, Bed of Roses na This is Living..) na watu wenye style ya kuandika ya ki-Tanzania kama Chesi Mpilipili.. alafu nikarudi tena kuangalia movie za kibongo ambavyo hazina substance nikajiuliza......
Wabongo hawapendi kusoma.., ila kuna watu wana talent ya kuandika na kupangalia stories na dialogue, hivyo kwanini kina Chesi et al badala ya kuandika vitu ambavyo vinaishia kufungiwa maandazi na kupata vumbi kwenye bookshelves.., wasiandike movie scripts maybe just maybe movies za Kibongo zitakuwa more watch-able, na badala ya kuangalia movies za sijui CIA kafanya nini na Terrorist wa wapi.., tutaona movies za vipi machinga anasomesha watoto na kuwalea wazazi wake huku anapigana chenga na mama mwenye nyumba, au maybe Mkwawa itakuwa a blockbuster kama ilivyokuwa Shaka Zulu
Wabongo hawapendi kusoma.., ila kuna watu wana talent ya kuandika na kupangalia stories na dialogue, hivyo kwanini kina Chesi et al badala ya kuandika vitu ambavyo vinaishia kufungiwa maandazi na kupata vumbi kwenye bookshelves.., wasiandike movie scripts maybe just maybe movies za Kibongo zitakuwa more watch-able, na badala ya kuangalia movies za sijui CIA kafanya nini na Terrorist wa wapi.., tutaona movies za vipi machinga anasomesha watoto na kuwalea wazazi wake huku anapigana chenga na mama mwenye nyumba, au maybe Mkwawa itakuwa a blockbuster kama ilivyokuwa Shaka Zulu