Kwanini Tanzania inahujumu undugu Afrika ya Mashariki?

Hawa Wakenya kuna siku tukiwa na maendeleo kuwazidi watasem awao ndo wameleta maendeleo yetu,h…najiuliza hv wakenya wanaishije?,maan ni wanafiki mnooo
 
Utajiri wa Nairobi, Kisumu. Mombasa. Baaasii kasikzini ni ukoma mtupuuu. Kuna sehemu inatwa kakumaa duuu ni shida mkapani na Somali ni shida babangu
 
butiama haipo bukoba.
 
Achilia mbali undugu wa Afrika ya Mashariki Mkuu huyu nduli in SH kaleta chuki kubwa katika jamii yetu ya Watanzania tena chuki ya kutisha kufikia hata kuua wasio na hatia kwa kutumia haki yao ya kikatiba ya kumkosoa yeye na Serikali yake dhalimu.

Tanzania sasa hivi utadhani ule utawala wa makaburu wa Afrika Kusini umefufuka nchini kwetu.

 
Mbona wewe bado unaishi pamoja na kukosoa bila mipaka hujauawa!!!
 
Hakuna undugu wa Tanzania na Kenya.

Sharing the same landmass with a border in between doesn't make us relatives.
 
Hii shughuli nawaachia alshabab awa ni conservatism.Especially 254 ana mada za kichonganishi na wasiwasi na jinsia yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…