hiyo ni kawaida kwenye umeme wa maji. Ethiopia kila siku wanaongeza mabwawa. Uganda pia.Bado mnaamini kwenye miradi ya maji? mmejifunza nini kutoka Mtera na Kidatu? kumbuka wakati wanawekeza huko maji yalikuwa ya kumwaga leo hii ikifika kiangazi tunatafutana.
Tuwekeze mabilioni Rufuji, alafu miaka kumi baadae tuanze kujuta...na mtakuja hukuhuku mtandaoni kulamu huo uwekezaji.
Bado mnaamini kwenye miradi ya maji? mmejifunza nini kutoka Mtera na Kidatu? kumbuka wakati wanawekeza huko maji yalikuwa ya kumwaga leo hii ikifika kiangazi tunatafutana.
Tuwekeze mabilioni Rufuji, alafu miaka kumi baadae tuanze kujuta...na mtakuja hukuhuku mtandaoni kulamu huo uwekezaji.
Wathubutu kuutekeleza wakione kilicho mtoa kanga manyoya, ni wazi kibarua chao kitakuwa katika hati hati, kwani umeisahau serikali yetu kwa kuwamwaga watumishi wao tena kwa gafla gafla???
nawashauri wasithubutu, wajifanye tu kama hawaujui vile huo mradi