Kwanini TANESCO hawatekelezi STIEGLER'S Gorge project?

Bado mnaamini kwenye miradi ya maji? mmejifunza nini kutoka Mtera na Kidatu? kumbuka wakati wanawekeza huko maji yalikuwa ya kumwaga leo hii ikifika kiangazi tunatafutana.

Tuwekeze mabilioni Rufuji, alafu miaka kumi baadae tuanze kujuta...na mtakuja hukuhuku mtandaoni kulamu huo uwekezaji.
hiyo ni kawaida kwenye umeme wa maji. Ethiopia kila siku wanaongeza mabwawa. Uganda pia.
 
Bado mnaamini kwenye miradi ya maji? mmejifunza nini kutoka Mtera na Kidatu? kumbuka wakati wanawekeza huko maji yalikuwa ya kumwaga leo hii ikifika kiangazi tunatafutana.

Tuwekeze mabilioni Rufuji, alafu miaka kumi baadae tuanze kujuta...na mtakuja hukuhuku mtandaoni kulamu huo uwekezaji.

Kwa umeme huo wa MW 4000 no way tukajuta, kwani hata uzalishaji/maji yakipungua hatutakuwa mbali sana na lengo letu la uzalishaji. Kuhusu mtera na kidatu hukusikia taarifa kuwa kuna wafanyakazi ambao hawakuwa waaminifu walikuwa wanafungulia maji ili yasifikie production level ili tuu kujustify ukame.? So hayo ya maji kupungua mtera yawezekana ilikuwa ni ghost notion tuu ili kujustify uwekezaji katika sehemu ambapo watakuwa na uhakika wa 10%. Kama ndivyo hivyo, Nchi ya ethiopia isingewekeza takriban USD 4 Bil katika mradi wa MW 6000 uliokamilika juzi kati.
 
Wathubutu kuutekeleza wakione kilicho mtoa kanga manyoya, ni wazi kibarua chao kitakuwa katika hati hati, kwani umeisahau serikali yetu kwa kuwamwaga watumishi wao tena kwa gafla gafla???

nawashauri wasithubutu, wajifanye tu kama hawaujui vile huo mradi

Unaandika kama muhusika au mtu tu unayajua na kutishia serikali?

Pia sababu gani hizo zinakupeleka kutoa warning namna na maneno haya?
 
Back
Top Bottom