Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Kwa watumiaji wa barabara ya 'Bagamoyo Road' adha hii imekuwa janga kubwa sana hasa wakati wa Asubuhi na Jioni.
Ile sehemu ina Taa za kuongoza magari, lakini muda wa Asubuhi na Jioni wanakaa Trafiki ambao ndio chanzo cha foleni, mfana wasipokwepo huwezi kuta foleni kabisa.
Kama kuna utaratibu ambao sio wazi kuwa kwanini wanakuwa pale kusababisha foleni basi uwe wazi na waangalie namna nzuri ya kuepusha foleni lile eneo magari yanajaa mnoo hasa wanaotoka upande wa tegeta kuelekea mjini, na ile ni HighWay ila inakuwa na mkanda kutoka pale kwenye taa hadi njia panda ya Kawe au Darajani(Bondeni).
Naomba wajali swala la muda wote tunahitaji kuwahi tunaomba hili swala lishughulikiwe na mamlaka husika mana ni keroooooo sanaaaaa, na linakwaza.
Ile sehemu ina Taa za kuongoza magari, lakini muda wa Asubuhi na Jioni wanakaa Trafiki ambao ndio chanzo cha foleni, mfana wasipokwepo huwezi kuta foleni kabisa.
Kama kuna utaratibu ambao sio wazi kuwa kwanini wanakuwa pale kusababisha foleni basi uwe wazi na waangalie namna nzuri ya kuepusha foleni lile eneo magari yanajaa mnoo hasa wanaotoka upande wa tegeta kuelekea mjini, na ile ni HighWay ila inakuwa na mkanda kutoka pale kwenye taa hadi njia panda ya Kawe au Darajani(Bondeni).
Naomba wajali swala la muda wote tunahitaji kuwahi tunaomba hili swala lishughulikiwe na mamlaka husika mana ni keroooooo sanaaaaa, na linakwaza.