Kwanini Socrates hakuamini katika Demokrasia

Kwanini Socrates hakuamini katika Demokrasia

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
10,533
Reaction score
6,472
Socrates anayeaminika kama Baba wa Filosifia, akiona kwamba Demokrasia sio njia nzuri ya kuingiza, Kwani ina wapa watu wasio jua nafasi ya kufanya Maamuzi. Njia Bora ni wajuzi ndio waongoze na sio wasio wajuzi. Hapa naona China style ndio njia Bora.
 

Attachments

  • VID-20260224-WA0002.mp4
    7.2 MB
Mo
Socrates anayeaminika kama Baba wa Filosifia, akiona kwamba Demokrasia sio njia nzuri ya kuingiza, Kwani ina wapa watu wasio jua nafasi ya kufanya Maamuzi. Njia Bora ni wajuzi ndio waongoze na sio wasio wajuzi. Hapa naona China style ndio njia Bora.
Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, a good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa empty shells, kwasababu tuu, lichawa linapendwa sana na watu, na kiukweli liko very popular!, hata ukinishindanisha mimi university graduate, ukanishindanisha na Daimondo ambaye ni standard 7 dropout, nitashindwa vibaya kwasababu Dai ni very popular!

Mfano mzuri ni Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu amefanya nini na by the time anatwaliwa, angalia ameacha nini?! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain vs kuongozwa na average .

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P
 
Well said.
Maendeleo katika nchi za ulaya yamefanyika katika kipindi cha tawala za mikono ya chuma. Demokrasia imeletwa kama project ya nchi za Magharibi kuzifanya nchi za Africa zisifanikiwe.
Mkono wa chuma uendane na akili za chuma na pia uadilifu wa chuma... siyo unakuwa na viongozi waigizaji na wezi kama kina Makonda na Samia halafu utegemee matokeo chanya.
 
Socrates anayeaminika kama Baba wa Filosifia, akiona kwamba Demokrasia sio njia nzuri ya kuingiza, Kwani ina wapa watu wasio jua nafasi ya kufanya Maamuzi. Njia Bora ni wajuzi ndio waongoze na sio wasio wajuzi. Hapa naona China style ndio njia Bora.
kweli
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Hapa tupo Pamoja, na Mwalimu unatakiwa umeelewe tokea ule uchaguzi wa Nkapa, na Nkapa hakuna kurudia kosa uchaguzi wa JPM
 
99% ya Africa haijawahi kuwa na demokrasia tangu uhuru na bado hakuna maendeleo.
Ni vizuri tuangalie kwetu Kwanza shida ni nini ktk hiyo Demokrasia isiyo Demokrasia
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P


mkuu kwenye good brain ndo tatizo linalolikumba hili taifa si tu kwa viongozi bali hata kwa wananchi.

ukishaanza kusikia kauli " mama kama anapendwa kwanini haonekani" --- kwanini asilimia 98% focus yake inatumia neno "kupendwa" wakati zimetoka kwenye uchaguzi, je inamaana chaguzi zetu huwa tunachagua tunaowapenda?
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Nakukubari sana mkuu, ila punguza hizo spana unapiga spana sana, naomba ungemalizia hapo ulipoishia maana umeishia katikati hujamaaliza mkuu hapo ulipoacha kuendelea ndio penyewe ungegongelea na hapo

Naamanisha

Hapa
a)
je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Na hapa..
b)
Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kilaza.. naomba nisimalizie

Sasa hapo ungemalizia huyo kilaza ungemuongelea vizuri
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Tatizo si demokrasia, tatizo ni ujinga wa watu.

Msome Karl Popper katika critique yake ya Plato/Socrates iliyo katika "The Open Society and Its Enemies" kaandika vizuri critique yake ya maoni ya Plato/Socrates katika "The Republic". Kitabu nimeki attach hapo chini.

Kama huwezi kuwa na demokrasia kwa sababu watu wengi ni wajinga, solution si kukataa demokrasia, solution ni kuondoa ujinga.

From Google.

The Open Society and Its Enemies, by Karl Popper, is a seminal 1945 book that defends liberal democracy against totalitarianism, criticizing the philosophies of Plato, Hegel, and Marx as intellectual origins of authoritarianism. Written in exile during WWII, it argues for an "open society" where individuals can freely criticize and reform institutions, contrasting it with "closed" societies based on historicism and central planning. The book is a powerful critique of ideologies that claim history moves toward a predetermined end, advocating instead for critical rationalism in politics.

Key themes and arguments:
Defense of democracy: A vigorous defense of liberal democracy, emphasizing individual freedom, critical thinking, and tolerance.
Critique of historicism: A powerful attack on "historicism," the belief that history follows inevitable laws, which Popper saw as a foundation for totalitarianism.

Attack on "enemies": A critique of the philosophies of Plato, Hegel, and Marx, whom Popper identified as key figures whose ideas paved the way for totalitarian regimes like Nazism and Soviet communism.

Call for critical rationalism: Argues that the scientific method of critical inquiry should be applied to politics, allowing for the constant testing and reform of social and political institutions.

Significance:
Published in two volumes in 1945, it became one of the most influential political books of the 20th century.
It is credited with inspiring anti-communist dissidents during the Cold War.

Its arguments remain relevant today in discussions about the challenges to open societies from fanaticism, nationalism, and populism.
 

Attachments

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kilaza.. naomba nisimalizie

Sasa hapo ungemalizia huyo kilaza ungemuongelea vizuri
Naona tunaanza kulishana maneno, mimi nimeandika neno "kila.." (tu) mbona umenilisha maneno kuwa nimeandika kilaza?!.
Kila..
inaweza kuwa
  1. kilaaa
  2. kilaee
  3. kilaii
  4. kilaou
  5. kilauu
  6. kilaba
  7. kilabe
  8. kilabi
  9. kilabo
  10. kilabu
  11. kilaca
  12. kilace
  13. kilaci
  14. kilaco
  15. kilacu,
  16. kilada
  17. kilade
  18. kiladi
  19. kilado
  20. kiladu
  21. kilafa
  22. kilafe
  23. kilafi
  24. kilafo
  25. kilafu
  26. kilaga
  27. kilage
  28. kilagi
  29. kilago
  30. kilagu
  31. kilaha
  32. kilahe
  33. kilahi
  34. kilaho
  35. kilahu
  36. kilaja
  37. kilaje
  38. kilaji
  39. kilajo
  40. kilaju,
  41. Kilaka
  42. kilake
  43. kilaki
  44. kilako
  45. kilaku
  46. kilala
  47. kilale
  48. kilali
  49. kilalo
  50. kilalu
  51. kilama
  52. kilame
  53. kilami
  54. kilamo
  55. kilamu
  56. kilana
  57. kilane
  58. kilani
  59. kilano
  60. kilanu
  61. kilapa
  62. kilape
  63. kilapi
  64. kilapo
  65. kilapu
  66. kilara
  67. kilare
  68. kilari
  69. kilaro
  70. kilaru
  71. kilasa
  72. kilase
  73. kilasi
  74. kilaso
  75. kilasu
  76. kilata
  77. kilate
  78. kilati
  79. kilato
  80. kilatu
  81. kilava
  82. kilave
  83. kilavu
  84. kilavo
  85. kilavu
  86. kilawa
  87. kilawe
  88. kilawi
  89. kilawo
  90. kilawu
  91. kilaya
  92. kilaye
  93. kilayi
  94. kilayo
  95. kilayu
  96. kilaza
  97. kilaze
  98. kilazi
  99. kilazo
  100. kilazu
Kati ya hayo maneno 100 ya kila, kwanini unilishe Neno kilaza?. Unataka nipotezwe kuonekana ni mimi nimemuita mtu kilaza?

Nitamjulisha mode, tuongeze idadi ya makasa, zaidi ya name calling, pia kulisha mtu maneno iwe ni kosa!.
P
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Kaka hii umeandika wewe au kuna mtu kashika simu yako.

Kama ni wewe basi una mengi moyoni ila huwa unajizuia kuyatoa.

Pole kaka.
 
hapa afrika tatizo kubwa ni maarifa madogo ya kutatua changamoto kwa wanaongoza na wanaongozwa pia --- mambo ya rushwa , uadilifu , hujuma ni vitu vya nyongeza tu
Lakini nchi ikiongozwa na mtu mwenye maarifa inakuwa rahisi kwa Kiongozi huyo, kupima faida za muda mfupi dhidi ya faida za muda mrefu na kungamua njia Sahihi ya kufuata. Yenye gharama ndogo kwa nchi na sio kwake na kundi lake.
 
Back
Top Bottom