Ngoja tuoneYes,š na hakuna shida yoyote katika hilo
de Gunner anachekesha kama sio ndugu yakoDon't be a dunk head.
JF hakuna watu walioko nje? Mbona unakuwa kama unenlightened Monk?
Unakosa kuunganishwa logic ndogo kama hiyo? Na kingine kila mtu anamsalaba wake so acha kuona kama una uspesho wa wania yoyote. No cares about you.
Izi sifa za kisukuma tu.... tushazoeaHakuna cha kuona wala kusikiwa ndivyo nilivyoš
Huyu jamaa inaonesha ana matatizo ya akili, huwa anakuja kuomba ushauri lakini wakati huo huo anakuwa na majibu yake mfukoni.š š š daah attention
Mkuu uzi umeonesha historia yako ya kuumizwa japo ulikuwa mwema kwa waliokuumiza
swali huwezi kuwa mpole kwa wanajf kwa sababu ya waliokuumiza nje ya jf ? Au waliokuumiza wapo ndani ya jf
Twende naye mdogo mdogo tusimnyanyapaeHuyu jamaa inaonesha ana matatizo ya akili, huwa anakuja kuomba ushauri lakini wakati huo huo anakuwa na majibu yake mfukoni.
Hivi umefatilia mlolongo wa maswali ya huyo mjinga? Sio kwamba hajui anacho kifanya linatambua fika linacho kiuliza uli Lipate sympathy feki.Huyu jamaa inaonesha ana matatizo ya akili, huwa anakuja kuomba ushauri lakini wakati huo huo anakuwa na majibu yake mfukoni.
muache ajiongelee maana akianza kukuongelea utaomba ardhi ipasukešTupumzishe sasa
Kila.siku unajiongelea wewe tu humu![]()
Hamna vya bure lipia sauti kijanaHahahaha, tukutane unako kutanaga leo unaimba huimbi?
Me sikushangai mkuu inaonesha waliokuumiza wamekuumiza sana tena sana inabidi utumie uwanja wa jf kujitibu maana huku hakuna atakaye kupiga wala kukukamataHivi umefatilia mlolongo wa maswali ya huyo mjinga? Sio kwamba hajui anacho kifanya kinatambua fika linacho kiuliza uli Lopate sympathy feki.
Huyu mjuaji sana š¤£š¤£š¤£muache ajiongelee maana akianza kukuongelea utaomba ardhi ipasukeš
Acha dharau šulisema inakupendezašHahaha dogo una mizaha mbaya sana,
Kwa sauti ile isiyo mtoa nyoka pangoni hata senti hulambi nakwambia, labda ujitahidi kushusha vyuma you never know
HahahahaMe sikushangai mkuu inaonesha waliokuumiza wamekuumiza sana tena sana inabidi utumie uwanja wa jf kujitibu maana huku hakuna atakaye kupiga wala kukukamata
Endelea kupona mkuu