Kwanini sitaki kupata mtoto

Kwanini sitaki kupata mtoto

flamini

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
595
Reaction score
788
Habari,

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo;

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee, kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi, shoga, muawaji, gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma, watanicost pesa yangu, mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu.

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu, sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal?

Maasallam.
 
Maamuzi yako! Lkn km haumaanishi, acha kuongea ivyo! Ushawahi kutafakari asingeleta mama Ako Na baba Ako huku duniani, ungelipatia wapi nafsi ya kunena hayo unayosema? Chunga mdomo wako!
Kwani nilichagua kuja duniani?wao si ndo walikua na malengo na mimi?na mimi kutozaa ndio malengo yangu.
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.

yaah ni kweli watoto some time ni hasara kama wewe mwenyewe!
 
Amini nakuambia; hizo pesa anazosema atazisaka vizuri ukiwa hauna mtoto hautoweza kuzipata kama hitaji la moyo wako linavyosema kama hauna wategemezi.
Familia ndio wategemezi wako wa kwanza na kuwapa huduma hakuepukiki hivyo lazima utafanya kazi kwa bidii ili waishi vizuri na kupitia wao maisha yako yatazidi kunawili.
Msela hulizika na kidogo anachopata kwakuwa kinakidhi mahitaji yake tofauti na mtu mwenye majukumu ya kifamilia.
Itafika wakati utajiuliza hizi mali namtafutia nani na watoto sina? Tayari nguvu ya kutafuta itapungua.
 
sawa baba tumekusikia naona we mwenzetu ulijileta na unawaona hao waliotumia miaka kadhaa kukufikisha hapo ulipo kama walijipendekeza kwako au wajinga kafunge kabisa baba ili usibebeshe mimba hata kwa bahati mbaya tu
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.

Wewe ulipatikanaje? Walipokuzaa haukuwa mzigo kwao?
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.
Kuwa padre
 
Watoto ni faraja,, lakini uwape kwa muda uliojiandaa,, una Umri gani Kwani ndugu???
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.
mmmh nahisi utakuwa na tatizo mkuu.Watoto ni faraja watoto ni balaka.unaona tabu kupoteza muda wako kulea mtoto eti mpaka afike miaka ishirini ndio aanze kujitegemea.

Je wewe una mkataba na mungu,unajua utaishi miaka mingapi.Sikia mkuu maisha ya ujamaa yalishapita tangu enzi za nyerere ambao nyumba moja mnaishi ukoo mzima au mtoto wa kaka yako au Dada yako atakuheshimu sawa na mzazi wake .Sasa hivi kila MTU na mtoto wake mtoto wa kaka yako wa Dada yako ajisikie kukusaidia kama hajisikii huna cha kumfanya kzazi hiki kimevurugwa.

Ushafikilia una Mali zako una mihera ya kutosha alafu umezeeka na unahitaji msaada je nani wakukusaidia uzeeni zaidi ya watoto wako muda ambao huna nguvu Tena za kufanya lolote.
 
Back
Top Bottom