McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,562
Katka haya unaenjoy nini boss.Baki kwenye Tecno mzee,hii Dunia ina machaguo mengi sana hauwezi kuyafanya yote lazima utofautiane na wenzio tu.
Kwangu mimi iPhone ni tafsiri sahihi ya neno simu nina-enjoy kuliko unavyodhania kama vile matumizi ya simu yanavyotaka tatizo watu wengi ambao ni Android addict wanataka kugeuza simu kila kitu walale umo umo,simu ipike pilau,simu abandike maji ya kuoga yaani vurumai tupu ndio maana mnalalama kua iOS sio friendly ni mazoe yenu ya kuzoazoa.
Tupe advantage ya hizo simuMimi iPhone na blackberry hizo simu zimeniloga am in love with those species
Uko sahihi bro. Yani mtu hata kuweka app ya Maswa yetu blog ni shida [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mtazamo huu ndio huwafanya watu wanunue iphone. Ila hawaenjoy kuwazidi wanaotumia Samsung
Upo sahihi sanaNilikua nawatamani wanaotumia iphone kiasi kwamba niliamua kuchukua i6+. Hakika sikumaliza nayo wiki. Inaboa sana.
Nimerudi samsung kwakweli.
Kimtazamo huku kwetu ni kwamba mtu anayetumia iphone, anaonekana ni mwenye hadhi. Nimesema kimtazamo tena kwa watu tuliokosa elimu na kukaa na watu wengi tukajua dunia ilivyo.
Kwa upande wangu, iphone haina lolote kwakweli kumzidi samsung
Hiyo kauli ka magufuliUngeinunua walau uitumie km mwez hv ungejijib vzr sana. Ninachopendea hz simu hawatumii vilaza. Over.
Jadili na mambo mengineHapo kwenye megapixels, mimi sio mtaalamu sana wa camera lakini katika simu usiangalie megapixels peke yake, angalia kitu kinaitwa aperture.
Mfano sasa hivi simu nyingi zina 12mp lakini tofauti inakuja kwenye aperture. Ukitaka kuijua aperture, kwenye sites mbalimbali zinazoweka specifications za simu utaona kwenye camera wanaandika 13mp, f/1.8 sasa hiyo f/1.8 ndo kitu cha kuangalia zaidi.
The less it is in figures, the higher the quality of the pic.
Hivyo hata kwenye iPhones ni kweli hawana zile mbwembwe za 16mp, ila aperture is what matters.
Unaenjoy nini na shida kama hizi??Ungeinunua walau uitumie km mwez hv ungejijib vzr sana. Ninachopendea hz simu hawatumii vilaza. Over.
Hana Hoja ya msingiHiyo kauli ka magufuli
Tunaomba list ya enjoyments za apple.Mimi tangu nilipoanza kutumia apple devices sijawahi kujutia mwanzoni nlikuwa nawashangaa watu wanaozisifia nawaona hawajui kitu lkn nlipoingia nmeelewa vzr
Tunaomba list ya enjoyments za apple.
Sisi tumekuja na drawbacks hizi hapa
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Unaenjoy nini na shida kama hizi??
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Umasikini wa akili huoNdio maana umeambiwa hizi simu wanatumia watu wanaojielewa
Sijacopy kitu. Nimeandika mm mwenyeweMbona kama hzi hoja umekopi kutoka kwa competitors?
Mbona mnaongea kwa hisia bila hoja???? Leteni hoja tuwaeleweMtoa mada usije ukajaribu kuitumia ata i phone 5s achana na 8 plus uko..maana ata kama ni mwakani lazma utaichambua hii thread yako uizike..mm nimetumia simu zote kali ila i phone haina mpinzani..
Nani Kasema lazima uwe na Itunes?No interaction with PC without Itunes
Kwa Ajili ya nini Bluetooth? kurushiana picha na video? Hizo mambo ni old fashion mkuu. Tangu nianze kutumia iphone sijawahi kuona kitu kwa mtu akisha nkakiomba kurushiwa kwa bluetooth.No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
Msala wake ni upi? kama local developer hajatengeza app, hilo ni kosa la Apple?Kupata Apps za local developers ni Msala.
Use another Browser if you cant donwload via SafariNo downloading on Websites and blogs
Hii na 12 naona zinagongana, how can you say Poor documents perusing and management, halafu unasema NO file management app?Poor documents perusing and management
Buy one with 256 GB tatizo liko wapi mkuu?No memory extension.
Kivipi?Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
IOS ni Poor ecosystem? 😱 Bado huna uhakika na unachoongea ndugu yangu.Poorness of IOS Ecosystem
How is it poor? Android wanafollow the same Back button. Hakuna tofauti ya app navigation kwenye ios na Android. Insta , whatsapp n.k navigation ipo ivo ivo.Poor navigation of ( BACK ) Button
Zile simu fake tangu miaka 2005 ivi i think dual sim zilikuwepo. How is it an issue? Samsung S series kwani ni dual sim cards? Au SONY Xperia? Dual sim unakuta kwenye vitecno na wenzake tu.No dual SIM
Kama ni mtumiaje wa iphone hasa, huwezi kusema ichi kitu. File explorer zipo nyingi tu.No File Management App
Safari is called a default browser kwa sababu ios inakuja na hio browser ikiwa tayari pre installed. Options zipo nyingi tu mbona.Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Mfano kama zipi?No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
Acha umbea, hujawahi kutumia haya umeyajuaje mkuu😂Wakuu habarini.
Naomba kujua kwann Iphones zina specifications ndogo ukilinganisha na Simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.
Sijaona Iphone inayozidi hivi vigezo
Maximum RAM 3gb
Maximum Camera 12 Mega Pixels
Maximum Battery size </ = 3000 mAh
Hawa jamaa Inovation yao ipo katika mlengo upi???.
Hizi simu sijawahi kuzitumia na nahisi sizipendi japo ninapesa ya kununua Iphone niitakayo. Lakini naona simu kama ya waganga wa kienyeji. Maana Masharti ni mengi kuliko Enjoyments.
Yani kumiliki hizi simu ni kama Mkinga mfanya biashara anaelala chooni ilihali ana majumba ya kifahari
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Naomba ushirikiano