Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Baki kwenye Tecno mzee,hii Dunia ina machaguo mengi sana hauwezi kuyafanya yote lazima utofautiane na wenzio tu.
Kwangu mimi iPhone ni tafsiri sahihi ya neno simu nina-enjoy kuliko unavyodhania kama vile matumizi ya simu yanavyotaka tatizo watu wengi ambao ni Android addict wanataka kugeuza simu kila kitu walale umo umo,simu ipike pilau,simu abandike maji ya kuoga yaani vurumai tupu ndio maana mnalalama kua iOS sio friendly ni mazoe yenu ya kuzoazoa.
 
Katka haya unaenjoy nini boss.
Mbona hamsemi mnacho enjoy

1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
 
Upo sahihi sana
 
Jadili na mambo mengine
 
Ungeinunua walau uitumie km mwez hv ungejijib vzr sana. Ninachopendea hz simu hawatumii vilaza. Over.
Unaenjoy nini na shida kama hizi??
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
 
Mimi tangu nilipoanza kutumia apple devices sijawahi kujutia mwanzoni nlikuwa nawashangaa watu wanaozisifia nawaona hawajui kitu lkn nlipoingia nmeelewa vzr
Tunaomba list ya enjoyments za apple.
Sisi tumekuja na drawbacks hizi hapa
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
 

Ndio maana umeambiwa hizi simu wanatumia watu wanaojielewa
 

Mbona kama hzi hoja umekopi kutoka kwa competitors?
 
No interaction with PC without Itunes
Nani Kasema lazima uwe na Itunes?

No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
Kwa Ajili ya nini Bluetooth? kurushiana picha na video? Hizo mambo ni old fashion mkuu. Tangu nianze kutumia iphone sijawahi kuona kitu kwa mtu akisha nkakiomba kurushiwa kwa bluetooth.

Kupata Apps za local developers ni Msala.
Msala wake ni upi? kama local developer hajatengeza app, hilo ni kosa la Apple?

No downloading on Websites and blogs
Use another Browser if you cant donwload via Safari

Poor documents perusing and management
Hii na 12 naona zinagongana, how can you say Poor documents perusing and management, halafu unasema NO file management app?

No memory extension.
Buy one with 256 GB tatizo liko wapi mkuu?

Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
Kivipi?

Poorness of IOS Ecosystem
IOS ni Poor ecosystem? 😱 Bado huna uhakika na unachoongea ndugu yangu.

Poor navigation of ( BACK ) Button
How is it poor? Android wanafollow the same Back button. Hakuna tofauti ya app navigation kwenye ios na Android. Insta , whatsapp n.k navigation ipo ivo ivo.

No dual SIM
Zile simu fake tangu miaka 2005 ivi i think dual sim zilikuwepo. How is it an issue? Samsung S series kwani ni dual sim cards? Au SONY Xperia? Dual sim unakuta kwenye vitecno na wenzake tu.

No File Management App
Kama ni mtumiaje wa iphone hasa, huwezi kusema ichi kitu. File explorer zipo nyingi tu.

Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Safari is called a default browser kwa sababu ios inakuja na hio browser ikiwa tayari pre installed. Options zipo nyingi tu mbona.


No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
Mfano kama zipi?

Samsung alimcheka Apple alivoweka Notch kwenye simu. Sasa anaetengeza Android ametoa tolea la OS kwa ajili ya simu zenye notch, na sasa Android nyingi zinafuata njia hio....

APPLE anawaburuta bado.

Ikiwa wewe sio power user, kazi yako ni kupiga na kupokea simu, apple wanaona haina haja ya kuwa na simu ambayo huwezi kuitumia power yake in full.

Samsung na wenzake simu unazikuta zina specs kubwa mara 8GB ram, processor octa cores, lakini ukitizama perfomance unakuta hata iphone 4s inawakimbiza
 
Acha umbea, hujawahi kutumia haya umeyajuaje mkuu😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…