Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Wakuu habarini.
Naomba kujua kwanini iPhones zina specifications ndogo ukilinganisha na simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.
Sijaona iPhone inayozidi hivi vigezo:
- Maximum RAM 3gb
- Maximum Camera 12 Mega Pixels
- Maximum Battery size </ = 3000 mAh
Hawa jamaa innovation yao ipo katika mlengo upi?.
Hizi simu sijawahi kuzitumia na nahisi sizipendi japo nina pesa ya kununua iPhone niitakayo. Lakini naona simu kama ya waganga wa kienyeji. Maana masharti ni mengi kuliko enjoyments.
Yaani kumiliki hizi simu ni kama Mkinga mfanya biashara anayelala chooni ilihali ana majumba ya kifahari
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except its generic siblings
3. Kupata apps za local developers ni msala
4. No downloading on websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa hovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions (Especially Africa)
10. Poor navigation of (Back) Button. Sijui watu wenye iPhone huwa mnaenjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari as a default Browser no way ndugu yangu
Naomba ushirikiano
Naomba kujua kwanini iPhones zina specifications ndogo ukilinganisha na simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.
Sijaona iPhone inayozidi hivi vigezo:
- Maximum RAM 3gb
- Maximum Camera 12 Mega Pixels
- Maximum Battery size </ = 3000 mAh
Hawa jamaa innovation yao ipo katika mlengo upi?.
Hizi simu sijawahi kuzitumia na nahisi sizipendi japo nina pesa ya kununua iPhone niitakayo. Lakini naona simu kama ya waganga wa kienyeji. Maana masharti ni mengi kuliko enjoyments.
Yaani kumiliki hizi simu ni kama Mkinga mfanya biashara anayelala chooni ilihali ana majumba ya kifahari
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except its generic siblings
3. Kupata apps za local developers ni msala
4. No downloading on websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa hovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions (Especially Africa)
10. Poor navigation of (Back) Button. Sijui watu wenye iPhone huwa mnaenjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari as a default Browser no way ndugu yangu
Naomba ushirikiano