Kwanini siku zinakuwa fupi ?

Kwanini siku zinakuwa fupi ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
 
hichi kitu mi nilijua nakiona pekeyangu, pia nyumba na miti vinatitia ardhin
 
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
Kweli kabisa
Nimeamka mda si mrefu eti saivi saa nane ugali umeiva
 
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
Ulikua unalala kwa shida enzi hizo sasahivi unalala pozuri unatamani pasipambazuke kiongozi.😀😀😀
 
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
Sure nami najiuliza kulikoni? nikilamba mamaa nikaanza kukoroma mara nasikia kuku akiwika!! nilidhani niko mwenyewe!!!😉😉😉😉
 
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
Mara zote muda huwa hautoshi kwa muhangaikaji, jaribu kukaa tu pasipo na kitu cha kufanya uone, utahisi kuna mtu anauzuia ule mshale wa saa usitembee! Piga kazi. Kila lakheri.
 
Dakika ni zilezile ila ni mawazo yako tu . Ila mwezi wa pili unaniacha hoi aliyepanga 28 ba 29 anamaanisha nini?
 
Hata mm mwanzo ni niliona vivyo hivyo kuwa masaa yameongeza kasi siku hizi lakini Kiuhalisia muda ni ule ule ila mambo ndo yamekuwa mengi siku hizi.
 
Mishale ya saa inakwenda kasi sana na mbona siku zinendelea kuwa fupi kila kukicha ?

Masaa yanakwenda kwa kasi sana siku hizi. Unakaa kidogo jua limezama, hujakaa sawa joo wanawika kumekucha ! Mshale wa saa unakwenda speed sana kuliko mwanzo miaka ya huko nyuma.

Zamani ilikuwa mchana mtu unakaa sana mpaka unachoka. Usiku ukiingia unalala sana mpaka kumekucha mbavu zimeshaumia vya kutosha. Siku hizi ukiweka mbvu chini, kabla ya kujigeuza tayari alfajiri na kumepambazuka.
Pengine umekuwa busy.
 

Mi naonaa siku ziendeleee kukimbiaa tu. Maana so Kwa vyumaa kukazaa hivi.
. 😀😀
 
Back
Top Bottom