heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 8,033 Reaction score 13,350 Jul 18, 2018 #21 kwani muda umepunguzwa yangu usetiwe 24hours? au saa siku hizi lina dk 45? suala ni kwamba mambo ni mengi alafu tunataka kuyafanya kwa pamoja
kwani muda umepunguzwa yangu usetiwe 24hours? au saa siku hizi lina dk 45? suala ni kwamba mambo ni mengi alafu tunataka kuyafanya kwa pamoja
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,978 Reaction score 14,100 Jul 18, 2018 #22 Punguza maden
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,590 Reaction score 6,957 Jul 18, 2018 #23 Hizo ni dalili za QIYAMAH