Nimekaa nikatafakari uzalendo wa Wachaga. Maarifa na akili walizonazo hawa viumbe juhudi binafsi.
Napendekeza makao makuu ya nchi yajengwe Moshi. Nguvu itakayotumika ni ndogo sana na litakuwa jiji la kihstoria katika Africa. Na nafikiri Wachaga wangekuwa hawaishi nchi hii baadhi ya maendeleo ya nchi hii yasingekuwepo
Naomba kuwasilisha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Napendekeza makao makuu ya nchi yajengwe Moshi. Nguvu itakayotumika ni ndogo sana na litakuwa jiji la kihstoria katika Africa. Na nafikiri Wachaga wangekuwa hawaishi nchi hii baadhi ya maendeleo ya nchi hii yasingekuwepo
Naomba kuwasilisha
Sent from my iPhone using JamiiForums